Suala hili la ndoa na usaliti

Mifano huwa haitolewi kwa watu wapumbavu...

Toa mifano kwa watu Kama mitume,manabii,wafalme na machifu
Mfano.nabii Ibrahim, Suleiman, Muhammad, King sae n.k

Baba ako ata tumpe mbuzi akawachunge sidhani kama atawaweza sembuse wanawake.
 
Hayo maneno yakikubwa mno kwake
 
kuna mahala nimesema mama alikuwa na ghubu mkuu sikatai kama alikuwa nalo maana mimi sifahamu nianchosema kutetea mwanaume aliyeko kwenye ndoa anatetea uovu wa kusaliti ndoa kwa kisingizio cha kutokuridhika na mwanamke mmoja sio sawa mkuu
Dogo wewe ni mwanaume. So usimalize maneno hapa.Jamaa kakupa maneno mazito sana tena ya kiume,kaa ujitafakari ktk kauli zako kwasababu usije baada ya Miaka sita mbele ukaja na kisanga chako hapa nasi km Allah atakuwa amejaalia kuishi tukakurudi kwenye huu uzi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…