Nyalikanho
Member
- Sep 17, 2017
- 61
- 30
Hivi ishu ya baa kupiga muziki wa hali ya juu mpaka kunakucha huwa inasuluhishwa na mamlaka gani katika eneo husika kwa uharaka na bila kujulikana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilipuwe kwa mabomuHivi ishu ya baa kupiga muziki wa hali ya juu mpaka kunakucha huwa inasuluhishwa na mamlaka gani katika eneo husika kwa uharaka na bila kujulikana?
kua kwanza akiliZilipuwe kwa mabomu
kua kwanza akili huku sio facebookhayo ndio maisha ya mjini rudi kijijini ukasikie kelele za ndege
kabisaWatu wa mazingira hawafanyi kazi yao
okNemc Kwa kushirikiana na halmashauri
Wafunge zile sound za chini chiniHivi ishu ya baa kupiga muziki wa hali ya juu mpaka kunakucha huwa inasuluhishwa na mamlaka gani katika eneo husika kwa uharaka na bila kujulikana?
Maagizokabisa
NEMC (National Environment Management Council)Hivi ishu ya baa kupiga muziki wa hali ya juu mpaka kunakucha huwa inasuluhishwa na mamlaka gani katika eneo husika kwa uharaka na bila kujulikana?
Vema.Ila,hao wafuate baadaye baada ya ngazi za awali/mtaa,kata na halmashauri kuzidiwa na hao waleta fujo.Uongozi wa eneo husika umechukua hatua gani?Kuwarushia NEMC moja kwa moja ni ubakaji/uporaji kimamlaka.Mambo ni ngazi kwa ngazi ili hata mshughulikiwa akose hoja za utetezi.NEMC (National Environment Management Council)
Bora ngoma ya mdundiko irudishwe tu.Wapenda vibes wananyanyasika sana...."Huo mtendee umechanuaaaa"...!Huo mziki ukikukuta upo home, una mawazo yako ni kero balaa.
Ila ukukute uko na vibe ushakunywa na bia zako, unacheza tu hadi unanyanyua mguu mmoja kama kuku.....hadi raha
Maafisa afya mazingiraHivi ishu ya baa kupiga muziki wa hali ya juu mpaka kunakucha huwa inasuluhishwa na mamlaka gani katika eneo husika kwa uharaka na bila kujulikana?
Umecoment kana kwamba akili huna...Jenga nyumba kweny eneo kubwa , weka madirisha fully vioo , fensi ya maana ....Hutokuja kusikia kelele , hizo ni biashara za watu mjini .
Ukipanga sinza, Tabata labda uondoke wewe ila wao ndio maisha yao .