KERO Suala la baa kupiga muziki kwa sauti ya juu mpaka kunakucha huwa linashughulikiwa na mamlaka gani katika eneo husika?

KERO Suala la baa kupiga muziki kwa sauti ya juu mpaka kunakucha huwa linashughulikiwa na mamlaka gani katika eneo husika?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ila na Africa watu wanapenda kelele sana sijui kwanini na serikali wala haijali
Kuna siku nilimuuliza mkuu wa kituo nikamuambia unalalaje na kelele hizi za mziki karibu yako mpaka saa 7 za usiku na mamlaka unayo? Akabaki kucheka tu
Ukienda sokoni tangu asubuhi mpaka jioni kelele za speaker za wauzaji
Mitaani unakutana na wauza sumu natamani niwalishe 😄
Usiku bundi nao wanaanza na miziki yao
Halafu utafikiri hakuna wahusika na serikali pia
Huwezi kupata msaada
 
Ila na Africa watu wanapenda kelele sana sijui kwanini na serikali wala haijali
Kuna siku nilimuuliza mkuu wa kituo nikamuambia unalalaje na kelele hizi za mziki karibu yako mpaka saa 7 za usiku na mamlaka unayo? Akabaki kucheka tu
Ukienda sokoni tangu asubuhi mpaka jioni kelele za speaker za wauzaji
Mitaani unakutana na wauza sumu natamani niwalishe 😄
Usiku bundi nao wanaanza na miziki yao
Halafu utafikiri hakuna wahusika na serikali pia
Huwezi kupata msaada
Kelele kila mahali yaani shida

Ova
 
Back
Top Bottom