Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ila na Africa watu wanapenda kelele sana sijui kwanini na serikali wala haijali
Kuna siku nilimuuliza mkuu wa kituo nikamuambia unalalaje na kelele hizi za mziki karibu yako mpaka saa 7 za usiku na mamlaka unayo? Akabaki kucheka tu
Ukienda sokoni tangu asubuhi mpaka jioni kelele za speaker za wauzaji
Mitaani unakutana na wauza sumu natamani niwalishe 😄
Usiku bundi nao wanaanza na miziki yao
Halafu utafikiri hakuna wahusika na serikali pia
Huwezi kupata msaada
Kuna siku nilimuuliza mkuu wa kituo nikamuambia unalalaje na kelele hizi za mziki karibu yako mpaka saa 7 za usiku na mamlaka unayo? Akabaki kucheka tu
Ukienda sokoni tangu asubuhi mpaka jioni kelele za speaker za wauzaji
Mitaani unakutana na wauza sumu natamani niwalishe 😄
Usiku bundi nao wanaanza na miziki yao
Halafu utafikiri hakuna wahusika na serikali pia
Huwezi kupata msaada