Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake

Wabongo tulueni. Wahusika wote wapo nguvunu. Huyo mnayemuita Captain ashanyifolewa begani anahenyeshwa na makopolo!

Hao mapriveti wakipata wakili atawachomoa Kwa sababu walipewa amri na captain...... Uhalali au uharam wa amri atajua keptaini.

But kijeshi wameaga mashindano.
 
Wewe wa wapi? Nani kakudanganya wanajeshi hawashtakiwi?

Tembelea magerezani upate ushahidi, sijui kama unakumbuka kesi ya mauwaji ya kina Fundikira kinondoni wale wanajeshi walihukumiwa hukumu gani?

Ingekuwa hoja yako ina ukweli kusingekuwa na court marshal wala wanajeshi wangekuwa hawafukuzwi kazi.
 
Mods watahangaika na wewe, sina muda na mental case.
 
Humu kuna mitahaira kibao kila kitu rais atoe tamko na rais akifanya kila kitu basi atasemwa anavuka mipaka
 
Inamaan raisi asipo toa tamko hao jamaa hawakamatwi? Tuache masihara basi.

Hili swala tunatakiwq kudeal na Polisi, Wakishindwa tunaenda kwa W/Mambo ya ndani. Na huu ndo uwajibikaji kila mmoja atimize majukumu yake, sio kila kitu Rais hakuna nchi inaongoza kwa mfumo huo
 
Uko sahihi.
Kumtegemea Rais kwenye kila jambo ni uvivu wa kufikiri.
Rais anatakiwa kuhusika kwenye jambo ambalo limedhuru mamia ya wananchi kwa mpigo,haya ya kudhuru mtu mmoja inatakiwa wananchi wenyewe tuungane tulimalize wenyewe kama wenye mamlaka husika wameshindwa kazi.
 
Kwani huyo mme wa mtu hajitambui hadi umsaidia wewe kumsemea?Huyo mme wa mtu alifanyishwa mapenzi kilazima?Nani alimtongoza mwenzake kati ya mwanamke au mwanaume?Na vipi kama huyo mwanaume alimdanganya binti kwamba hana mke?Kwa hiyo unahalalisha kwamba mtu atakayefanya mapenzi na mke wa mtu au mme wa mtu adhabu yake iwe kubakwa?
Hoja zako ni mfu
 
Jeshini huwa kuna amri za kijinga hivyo?Hata hivyo hayo mambo yalifanyika mtaani sio kazini kwao kwa hiyo hapo hakuna utetetezi wa kusema eti Bosi ndio ametutuma tufanye kwani waliajiriwa kwa kazi ya kubaka watu au kulinda watu?
 
Humu kuna mitahaira kibao kila kitu rais atoe tamko na rais akifanya kila kitu basi atasemwa anavuka mipaka
Inashangaza, yaani waziri kashatoa tamko,polisi wametoa tamko, ila bado wadau wanataka Rais aonyeshwe ile video ili nayeye atoe comment dah,jau kweli
 
Je huyo afande akikataa kwamba hakuwatuma?
 
Mama ametoa mamilioni kumtibu Sativa aliyetekwa kisha kupelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay, Arusha sijui kwa nani lakini tunaweza kujua steling aliyepo kule tukikumbuka shambulio la Lissu kisha akaenda kupigwa risasi na kubwagwa Katavi. Alilisema pia atagharimia matibabu ya yule mtoto aliyejeruhiwa na msichana wa kazi. Sasa kwenye suala la huyu msichana mbona kimyaaa?
 
Too much expectations bring out disappointment!

Tuache dhana na fikra ya kufikiria kila kitu kitafanywa na Rais personal. Itoshe kusema Rais ni taasisi.
 
Maswala ya kijeshi hushughulikiwa kijeshi na Wana mahakama yao!
Hatua zitachukuliwa na umma utatangaziwa!
 
Mimi nashangaa watu kuipa hii habari kipaumbele na kuisema kila kona, mbona hayo mambo mtaani yanafanyika sana tu na hao wanasemwa kwasababu wameonekana kwenye video.

Yapo mengi vijana wanafanya yanatisha kuliko hata hilo
 
Hawajabaka bhana; acheni kukuza mambo. Walitekeleza amri ya afande.
Jeshini amri ni moja tu. Uki-define ubakaji ni kitu gani utagundua kwamba hilo walilofanya hali-fit kuitwa ni ubakaji. Hilo ni sexual harassment. (Unyanyasaji, uonevu, kuteswa kwa sababu ya unyonge wako).
 
Nilichogundua kuwa wew ni kum* watu kama nyie inatakiwa mfirw* hadharan, unapataje nguvu Kuita ule siyo ubakaji, yaan kumfanyisha mtu mapenz bila ridhaa yake siyo ubakaji shit, ni hasara kuwa na mitazania mijinga kama nyie,, siku yatamkuta mama ako
 
Mimi nashangaa watu kuipa hii habari kipaumbele na kuisema kila kona, mbona hayo mambo mtaani yanafanyika sana tu na hao wanasemwa kwasababu wameonekana kwenye video.

Yapo mengi vijana wanafanya yanatisha kuliko hata hilo
Ni kweli yako mengi ila kosa moja halihalalishi kosa lingine kuwa halali.
Cha msingi tushirikiane wote kupaza sauti kwa matukio yote mabaya na baada ya hapo uonevu utapungua ila tukikaa kimya na kupuuzia maovu yataongezeka
 
Inasikitisha sana , lakini yule binti naye anaonekana ni mzoefu aisee na vijana walikuwa wamemnywea na Safari lager kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…