Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Wabongo tulueni. Wahusika wote wapo nguvunu. Huyo mnayemuita Captain ashanyifolewa begani anahenyeshwa na makopolo!
Hao mapriveti wakipata wakili atawachomoa Kwa sababu walipewa amri na captain...... Uhalali au uharam wa amri atajua keptaini.
But kijeshi wameaga mashindano.
Hao mapriveti wakipata wakili atawachomoa Kwa sababu walipewa amri na captain...... Uhalali au uharam wa amri atajua keptaini.
But kijeshi wameaga mashindano.