Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Mimi sijaona kama kuna uonevu wowote, ni makubaliano ya pande zote mbili, kama alienda na akakubali kufanyiwa uonevu upo wapi.Ni kweli yako mengi ila kosa moja halihalalishi kosa lingine kuwa halali.
Cha msingi tushirikiane wote kupaza sauti kwa matukio yote mabaya na baada ya hapo uonevu utapungua ila tukikaa kimya na kupuuzia maovu yataongezeka
Kukemea kunakuja baada ya kuona video zikivuja, ila wapo wengi wanafanya pasipo kuchukua video