Pre GE2025 Suala la Bunge kudharau maoni; Kesi ya Kikatiba Ifunguliwe

Pre GE2025 Suala la Bunge kudharau maoni; Kesi ya Kikatiba Ifunguliwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Phillemon Mikael

Platinum Member
Joined
Nov 5, 2006
Posts
10,557
Reaction score
8,673
Naona ndani ya wiki hizi mbili wabunge wetu wameendelea kukunja Shingo wakiongozwa na spika wao , wengi wakiamini kuwa kukiwa na tume huru ya uchaguzi na mipaka hawatashinda Nafasi zao , huu ni ubinafsi,

Kuendelea kulazimisha wakurugenzi kusimamia uchaguzi wakiwa na walimu ambao sasa wazi inaonekana lengo Lao ni kuvuruga halikubaliki.

Jambo hili hata vyombo muhimu nchini vimeshachoka na ni muda sasa umefika ukandamizaji ambao Hakuna tina uishe.

Tunatambua kuwa Jaji Mkuu baada ya kuhongwa mkataba walitoa hukumu iliyowarudisha tena wakurugenzi kusimamia uchaguzi ..jambo ambalo hata viongozi wakuu wastaafu Akiwamo Joseph Warioba , Cleopa Msuya na wengine kwa Nyakati tofauti nao wameona Halina tija tena kwa Dunia ya Leo

Inashauriwa kuwa wananchi wakiongozwa na wapinzani na baadhi ya wana ccm wenye uelewa na kutaka Amani ya nchi hii wasikubali haya yaendelee

Wanasheria warudi mahakamani wakate rufaa , na wapinzani na wanaharakati na wana ccm waelewa nao waendeleee kudai haya marekebisho..

Haya yakishindikana iko siku mfumo utachoka na kusaidia wizi usio na tija na tutaachia ccm ianguke mchana kweupe.
 
Wengine tulishajua kuwa hilo bunge la TAM na SSH halijawahi kuwa na dhamira ya kusikiloza na kufanyia kazi maoni ya wananchi kuhusu miswada husika. Maandamano ya amani lazima yaendelee na ikishindikana basi sasa tutafute LUGHA nyingine.
 
Nakubaliana nawe katika issue ya kwenda mahakamani,

Napingana nawe kwenda kufungua kesi mahakama zisizo huru kudai tume huru.

Mahakama tunayotakiwa kwenda Kwa pamoja ni Kwa WANANCHI.

Maandamano ndiyo pekee, yatatupa Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya.
 
Huo muda muhimiri kizimkazi ukiwa wapi


Au ,utahamia Kenya Kwa muda kimtindo kesi ikiwa mahakama za tanzania
 
Naona ndani ya wiki hizi mbili wabunge wetu wameendelea kukunja Shingo wakiongozwa na spika wao , wengi wakiamini kuwa kukiwa na tume huru ya uchaguzi na mipaka hawatashinda Nafasi zao , huu ni ubinafsi,

Kuendelea kulazimisha wakurugenzi kusimamia uchaguzi wakiwa na walimu ambao sasa wazi inaonekana lengo Lao ni kuvuruga halikubaliki.

Jambo hili hata vyombo muhimu nchini vimeshachoka na ni muda sasa umefika ukandamizaji ambao Hakuna tina uishe.

Tunatambua kuwa Jaji Mkuu baada ya kuhongwa mkataba walitoa hukumu iliyowarudisha tena wakurugenzi kusimamia uchaguzi ..jambo ambalo hata viongozi wakuu wastaafu Akiwamo Joseph Warioba , Cleopa Msuya na wengine kwa Nyakati tofauti nao wameona Halina tija tena kwa Dunia ya Leo

Inashauriwa kuwa wananchi wakiongozwa na wapinzani na baadhi ya wana ccm wenye uelewa na kutaka Amani ya nchi hii wasikubali haya yaendelee

Wanasheria warudi mahakamani wakate rufaa , na wapinzani na wanaharakati na wana ccm waelewa nao waendeleee kudai haya marekebisho..

Haya yakishindikana iko siku mfumo utachoka na kusaidia wizi usio na tija na tutaachia ccm ianguke mchana kweupe.
Usitegemee hata siku moja CCM wakutungie sheria inayokufavor kirahisi rahisi ni mpaka wananchi waonekane wamechoka wapo hoi tafurani, yaani kila mtu aambiwi tena wala ahamasishwi kuanda mana yaani kila mtu ataandamana kivyake tena wengine wakiwa na manati, wengine mawe, wengine mishale na hayo maandamano hakuna wakuratibu wala wakuyapokea hapo
Ndipo CCM itasikia ila haya maandamano yakina mbowe mnaandamana kisha kila mtu anarudi nyumbani kwake kuoga haya mtafanya mpaka mchoke, watanzania bado hawajapigika vya kutosha kwahiyo wataendelea kupata na maisha ya kubeti mpaka wawe dhoofu hali kabisa.
 
Usitegemee hata siku moja CCM wakutungie sheria inayokufavor kirahisi rahisi ni mpaka wananchi waonekane wamechoka wapo hoi tafurani, yaani kila mtu aambiwi tena wala ahamasishwi kuanda mana yaani kila mtu ataandamana kivyake tena wengine wakiwa na manati, wengine mawe, wengine mishale na hayo maandamano hakuna wakuratibu wala wakuyapokea hapo
Ndipo CCM itasikia ila haya maandamano yakina mbowe mnaandamana kisha kila mtu anarudi nyumbani kwake kuoga haya mtafanya mpaka mchoke, watanzania bado hawajapigika vya kutosha kwahiyo wataendelea kupata na maisha ya kubeti mpaka wawe dhoofu hali kabisa.
Bila machafuko hakuna kitu kitafanyika. lazima kwa mwendo wa ccm watu kwanza wafe kama milioni 20, dunia iingilie kati
 
Naona ndani ya wiki hizi mbili wabunge wetu wameendelea kukunja Shingo wakiongozwa na spika wao , wengi wakiamini kuwa kukiwa na tume huru ya uchaguzi na mipaka hawatashinda Nafasi zao , huu ni ubinafsi,

Kuendelea kulazimisha wakurugenzi kusimamia uchaguzi wakiwa na walimu ambao sasa wazi inaonekana lengo Lao ni kuvuruga halikubaliki.

Jambo hili hata vyombo muhimu nchini vimeshachoka na ni muda sasa umefika ukandamizaji ambao Hakuna tina uishe.

Tunatambua kuwa Jaji Mkuu baada ya kuhongwa mkataba walitoa hukumu iliyowarudisha tena wakurugenzi kusimamia uchaguzi ..jambo ambalo hata viongozi wakuu wastaafu Akiwamo Joseph Warioba , Cleopa Msuya na wengine kwa Nyakati tofauti nao wameona Halina tija tena kwa Dunia ya Leo

Inashauriwa kuwa wananchi wakiongozwa na wapinzani na baadhi ya wana ccm wenye uelewa na kutaka Amani ya nchi hii wasikubali haya yaendelee

Wanasheria warudi mahakamani wakate rufaa , na wapinzani na wanaharakati na wana ccm waelewa nao waendeleee kudai haya marekebisho..

Haya yakishindikana iko siku mfumo utachoka na kusaidia wizi usio na tija na tutaachia ccm ianguke mchana kweupe.
Hata JK alishasema ipo siku mbeleko zitachoka kubeba 😅🙏
 
Bila machafuko hakuna kitu kitafanyika. lazima kwa mwendo wa ccm watu kwanza wafe kama milioni 20, dunia iingilie kati

Ni jukumu la wengine Kashauri kusoma alama za nyakati ili isilazimu watu kufa ili kumwaga dame , ni muhimu kuona mbali , wakati Mwalimu anashauri tuingie vyama Vingi wenzake ndani ya ccm wasioweeza kuona mbali wakiwamo viongozi wakuu walimnununia , akawaambia ni vyema kufanya Mabadiliko kwa hiyari kwani ukisubiri mabadiliko kwa lazima basi Chama na viongozi wake wote wataondolewa Madarakani na kutoweka…..Alísema ; “ …the wind of change is coming …”

Kwa matatizo tuliyonayo ccm Ndugu Zangu kama viongozi wetu watasubiri kubadilishwa kwa vurugu kutokana na Kiburi basi ni lazima wajuwe mabadiliko lazima yapo na sio mbali sana , mark this post , within five years …matatizo yakizidi watu wataiangusha …na hii unaweza kufanya chaama kikatoweka..

Lakini wakikubali kwenda na wakati basi watakuwa na Nafasi ya kuendelea kuwepo …..ni lazima tuweke Mazingira ya nchi kuongozwa na vyama viwili kwa kupokezana kama nchi nyingine kubwa Duniani …bila hivyo Pakiwa na machafuko mifumo ya kisiasa itaaanguka na vyama Vya siasa vitakosa maaana
 
Kesi ifungulowe kwenye mahakama zipi na itasikilizwa n majaji wepi?

Mahakama zetu zinatumika kama mkongojo wa ccm.
 
Ni jukumu la wengine Kashauri kusoma alama za nyakati ili isilazimu watu kufa ili kumwaga dame , ni muhimu kuona mbali , wakati Mwalimu anashauri tuingie vyama Vingi wenzake ndani ya ccm wasioweeza kuona mbali wakiwamo viongozi wakuu walimnununia , akawaambia ni vyema kufanya Mabadiliko kwa hiyari kwani ukisubiri mabadiliko kwa lazima basi Chama na viongozi wake wote wataondolewa Madarakani na kutoweka…..Alísema ; “ …the wind of change is coming …”

Kwa matatizo tuliyonayo ccm Ndugu Zangu kama viongozi wetu watasubiri kubadilishwa kwa vurugu kutokana na Kiburi basi ni lazima wajuwe mabadiliko lazima yapo na sio mbali sana , mark this post , within five years …matatizo yakizidi watu wataiangusha …na hii unaweza kufanya chaama kikatoweka..

Lakini wakikubali kwenda na wakati basi watakuwa na Nafasi ya kuendelea kuwepo …..ni lazima tuweke Mazingira ya nchi kuongozwa na vyama viwili kwa kupokezana kama nchi nyingine kubwa Duniani …bila hivyo Pakiwa na machafuko mifumo ya kisiasa itaaanguka na vyama Vya siasa vitakosa maaana
Mtu kama Samia hana uwezo wa kufikiri hivyo! Umeongea akili tupu! akli kubwa! Nasikia wamepitisha miswada kama ilivyo
 
Back
Top Bottom