LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Words are instrument of creation. Maneno yanaumba.
Kwa muda wa miaka minne mashabiki wa Yanga wamekuwa wakisema " Chama kasajiliwa Yanga, Chama kasajiliwa Yanga"
Hatimaye Chama kasajiliwa Yanga kweli.
Kwa miaka yote hiyo wakati mashabiki wa Yanga wakisema " Chama kasajiliwa Yanga" hawakuwa na uhakika wowote kwamba Chama kasajiliwa Yanga ila walikuwa wana wish Chama asijiliwe Yanga. But walikuwa wanatamka kwa kwa imani kwamba siku moja Chama atasajiliwa Yanga. Imani yao imewalipa.
Haya sasa na wewe unaesumbuliwa na matatizo mbali ya kimaisha Anza kutamka sasa kama kwamba tayari umeshafanikiwa.
Kwa muda wa miaka minne mashabiki wa Yanga wamekuwa wakisema " Chama kasajiliwa Yanga, Chama kasajiliwa Yanga"
Hatimaye Chama kasajiliwa Yanga kweli.
Kwa miaka yote hiyo wakati mashabiki wa Yanga wakisema " Chama kasajiliwa Yanga" hawakuwa na uhakika wowote kwamba Chama kasajiliwa Yanga ila walikuwa wana wish Chama asijiliwe Yanga. But walikuwa wanatamka kwa kwa imani kwamba siku moja Chama atasajiliwa Yanga. Imani yao imewalipa.
Haya sasa na wewe unaesumbuliwa na matatizo mbali ya kimaisha Anza kutamka sasa kama kwamba tayari umeshafanikiwa.