Suala la Feisal toto ni mgogoro wa Wachezaji wazawa!

Suala la Feisal toto ni mgogoro wa Wachezaji wazawa!

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
' Kila mchezaji mzawa hatakubali Feisal pekee ndiye arekebishiwe kipato huku wote wanakimbiza mpira dk 90! hili swala la feisal limeanzia kwa Stephane Aziz-K kununuliwa kwa bei mbaya na kuwa mchezaji ghali klabuni.

Ikumbukwe mama mzazi wa Azizi K ndiye aliyekuwa meneja wake. Leo feisal kudai maboresho makali yanga huku mama yake mzazi akiwa mmoja wa wakala wake.

Ni Bora Yanga imuachie aende zake Azam au SSC kuliko kumkubalia madai yake halafu kila mchezaji mzawa naye aje na wakala wake kulalamikia kipato hakitoshi.

Huu ni mgogoro hautofautiani na ule wa India na jimbo la kashmir kudai kujitenga kwa sababu India ili mruhusu Pakisatn kujitenga.

Serikali ya india imejikuta ikiandamwa na majimbo kadhaa yenye dini tofauti na hindu kujitaka kujitenga kwa sababu moja tuu pakistan ilikubaliwa.

YANGA MENEJIMENT IMRUHUSU FEISAL AONDOKE AKACHEZE MPIRA ATAKAKO KULIKO KUMKUBALIA MADAI YAKE ILI KUEPUSHA VINYONGO KUZAGAZAGAA KWA WACHEZAJI WAZAWA.
 
Yaani wakikubali tu kumboreshea maslahi yake wajue timu haitakalika ,kila mtu atajua kumbe inawezekana kuongezewa maslah ukiamua kuyadai kwa nguvu.Yanga wapo mtegoni tena mtego mkubwa sana kukataa kumwomgezea Fei kutamaanisha wengine watanywea lakini Je,Fei atakubali?

Jibu sidhani kama Fei atakubali kwa hali inayoonekana na akikubali Yanga watapona kisanga cha ongezeko la mishahara kwa klabu na kuikamua klabu vilivyo.

Ila Feisal asipokubali basi wamwache ili wao washinde vita ya mishahara ya wachezaji wengine kwa muda nje ya hapo wataumia.

Ila kweli Fei alipwe mil 4 Aziz Ki mil 23 yaani Aziz Ki akipokea salary tu basi anawezakumlipa Fei miezi karibia 6 hapana inauma hata ningekuwa mimi nisingevumilia wakati kuna deal mezani la mshahara japo nusu wa huyo Aziz Ki .
 
Yaani wakikubali tu kumboreshea maslahi yake wajue timu haitakalika ,kila mtu atajua kumbe inawezekana kuongezewa maslah ukiamua kuyadai kwa nguvu.Yanga wapo mtegoni tena mtego mkubwa sana kukataa kumwomgezea Fei kutamaanisha wengine watanywea lakini Je,Fei atakubali? Jibu sidhani kama Fei atakubali kwa hali inayoonekana na akikubali Yanga watapona kisanga cha ongezeko la mishahara kwa klabu na kuikamua klabu vilivyo.
Ila Feisal asipokubali basi wamwache ili wao washinde vita ya mishahara ya wachezaji wengine kwa muda nje ya hapo wataumia.

Ila kweli Fei alipwe mil 4 Aziz Ki mil 23 yaani Aziz Ki akipokea salary tu basi anawezakumlipa Fei miezi karibia 6 hapana inauma hata ningekuwa mimi nisingevumilia wakati kuna deal mezani la mshahara japo nusu wa huyo Aziz Ki .
Aziz Ki anajua mpira huwezi kumfananisha na Feisal acha upenzi wa kifala.
 
Ila kweli Fei alipwe mil 4 Aziz Ki mil 23 yaani Aziz Ki akipokea salary tu basi anawezakumlipa Fei miezi karibia 6 hapana inauma hata ningekuwa mimi nisingevumilia wakati kuna deal mezani la mshahara japo nusu wa huyo Aziz Ki .
Kichwani upo sawa kweli? Fei toto mkataba c aliusoma vizuri akatia saini akaridhia kuchukua mil 4 kwani alishikiwa fimbo?
Mfano fei Toto angekuwa analipwa mil 30 ghafla kiwango kikashuka na yanga wangetaka kumpunguzia mshahara kisa kiwango kimeshuka fei Toto angekubali ?
 
Serikali ya india imejikuta ikiandamwa na majimbo kadhaa yenye dini tofauti na hindu kujitaka kujitenga kwa sababu moja tuu pakistan ilikubaliwa.

YANGA MENEJIMENT IMRUHUSU FEISAL AONDOKE AKACHEZE MPIRA ATAKAKO KULIKO KUMKUBALIA MADAI YAKE ILI KUEPUSHA VINYONGO KUZAGAZAGAA KWA WACHEZAJI WAZAWA.
Sasa ukiutumia mfano huo huo wa majimbo ya India, ukimruhusu Feisal aondoke, sasa si kila mchezaji mzawa anayetaka kuondoka ataondoka?
 
Hakuna mgogoro wowote. Katika taasisi mishahara hailinganishwi. Huo utakuwa WIVU uliopitiliza.

Unaposaini contract kuna mshahara unaukubali na kuuridhia. Unapotaka uongezwe kisa umesikia mwenzako analipwa nyingi ni WIVU.

Aziz Ki asingezaini mshahara wa Mil 5 au alikataa mapendekezo kadhaa ya Yanga. Alipoona kiwango kilichofikiwa amekiridhia akasaini.

HAkuna mgogoro wowote hapo. Ni wivu tu.
 
Hakuna cha mgogoro wowote na Fei kulipwa 4ml sio kosa la Yanga ni Fei mwenyewe kutongangamala wakati wa kusaini mkataba ili mshahara uongezeke

Ifikie pahali wachezaji wetu waache NDIO MZEE wajue mpira ni biashara
 
Pia hili nalo ni la msingi
1672040373744.jpg
 
Kwa Wenye busara suala la Feisal linaisha na hata Kibwana hatajua limeishaje. Mpaka Leo watu wanahisihisi tu gharama halisi ya Haaland toka BVB kwenda The Citizens ilikuwa kiasi gani na hawapati ni jibu la kueleweka. Mara Wakala na Baba mzazi walilipwa Chao mapema, mara alinunuliwa Kwa bei ndogo.
 
Ulaya sio kama bongo jamaa yangu

Haaland alitoka BvB kwa Pauni 51 ml sawa na Euro ml 60 ama USD ml 63
 
' Kila mchezaji mzawa hatakubali Feisal pekee ndiye arekebishiwe kipato huku wote wanakimbiza mpira dk 90! hili swala la feisal limeanzia kwa Stephane Aziz-K kununuliwa kwa bei mbaya na kuwa mchezaji ghali klabuni.

Ikumbukwe mama mzazi wa Azizi K ndiye aliyekuwa meneja wake. Leo feisal kudai maboresho makali yanga huku mama yake mzazi akiwa mmoja wa wakala wake.

Ni Bora Yanga imuachie aende zake Azam au SSC kuliko kumkubalia madai yake halafu kila mchezaji mzawa naye aje na wakala wake kulalamikia kipato hakitoshi.

Huu ni mgogoro hautofautiani na ule wa India na jimbo la kashmir kudai kujitenga kwa sababu India ili mruhusu Pakisatn kujitenga.

Serikali ya india imejikuta ikiandamwa na majimbo kadhaa yenye dini tofauti na hindu kujitaka kujitenga kwa sababu moja tuu pakistan ilikubaliwa.

YANGA MENEJIMENT IMRUHUSU FEISAL AONDOKE AKACHEZE MPIRA ATAKAKO KULIKO KUMKUBALIA MADAI YAKE ILI KUEPUSHA VINYONGO KUZAGAZAGAA KWA WACHEZAJI WAZAWA.
Mbona unaleta ramli chonganishi hizo.kwani yanga kuna sehemu ilisema itamuongezea mshahara fei? Yanga imesema kama anataka kuondoka ,afuate utaratibu tu basi hizo zingine ni kejeli tu
 
Yaani wakikubali tu kumboreshea maslahi yake wajue timu haitakalika ,kila mtu atajua kumbe inawezekana kuongezewa maslah ukiamua kuyadai kwa nguvu.Yanga wapo mtegoni tena mtego mkubwa sana kukataa kumwomgezea Fei kutamaanisha wengine watanywea lakini Je,Fei atakubali?

Jibu sidhani kama Fei atakubali kwa hali inayoonekana na akikubali Yanga watapona kisanga cha ongezeko la mishahara kwa klabu na kuikamua klabu vilivyo.

Ila Feisal asipokubali basi wamwache ili wao washinde vita ya mishahara ya wachezaji wengine kwa muda nje ya hapo wataumia.

Ila kweli Fei alipwe mil 4 Aziz Ki mil 23 yaani Aziz Ki akipokea salary tu basi anawezakumlipa Fei miezi karibia 6 hapana inauma hata ningekuwa mimi nisingevumilia wakati kuna deal mezani la mshahara japo nusu wa huyo Aziz Ki .
Makolo mnatabu sana.kwani Mzamiru na okwa wanalipwa kiasi gani mbona hamsemi?
 
Kimsingi Job kibwana na Fei wanapaswa kuongezewa mshahara Hawa ukiwaangalia unaona kabisa ndio ma legend tarajiwa wa Yanga baada ya kizazi Cha kina Nsajigwa na baadae dogo Nkane pia aboreshewe maslahi
Yes mkataba wa Aziz Ki ilikuwa panic purchase maana vita ilikuwa kati ya Simba na yanga not more than na ukiangalia kwa uchumi wa Simba wasingeweza kuwa na Aziz na Chama kwa Sasa so tungeshinda hatukupaswa kuweka bid kubwa sana
 
Hakuna cha mgogoro wowote na Fei kulipwa 4ml sio kosa la Yanga ni Fei mwenyewe kutongangamala wakati wa kusaini mkataba ili mshahara uongezeke

Ifikie pahali wachezaji wetu waache NDIO MZEE wajue mpira ni biashara
Mshahara ulikuwa sahihi kabisa kwa wakati ule kosa ni kusaini mda mrefu angeweka miaka 2 basi kwa hiyo saa hii angekuwa mezani tena
 
Kichwani upo sawa kweli? Fei toto mkataba c aliusoma vizuri akatia saini akaridhia kuchukua mil 4 kwani alishikiwa fimbo?
Mfano fei Toto angekuwa analipwa mil 30 ghafla kiwango kikashuka na yanga wangetaka kumpunguzia mshahara kisa kiwango kimeshuka fei Toto angekubali ?
Watu wengi mbumbumbu mkuu ,kama Fei wakati anasaini kama hiyo M4 ni ndogo kwake si angekataa hapohapo na kuchagua maslahi sehemu nyingine ? hawajiulizi kuwa kiwango wakati anasaini mkataba mpya na sasa ni sawa ?

Tukija hata ulaya Mane alikuwa Key player Liverpool lakini alikuwa anazidiwa mshahara na mizigo wengi tu wakina Chamberlain umeona wapi Mane kulalamika wakati anajua alisaini mwenyewe ?Mane alisubiri mkataba wake wa awali kuisha kisha akaja na Dau jipya walivyokataa simple akasepa zake Bayern .

Hata Man U Herera alikuwa anizidiwa mshahara na wakina Smalling pamoja yeye kuwa muhimu na anajituma kushinda wao ,alichokifanya alisubiri mkataba wake uishe alivyoomba kuongezeka dau Man U walipigoma simple akasepa zake Psg.
 
Watu wengi mbumbumbu mkuu ,kama Fei wakati anasaini kama hiyo M4 ni ndogo kwake si angekataa hapohapo na kuchagua maslahi sehemu nyingine ? hawajiulizi kuwa kiwango wakati anasaini mkataba mpya na sasa ni sawa ?

Tukija hata ulaya Mane alikuwa Key player Liverpool lakini alikuwa anazidiwa mshahara na mizigo wengi tu wakina Chamberlain umeona wapi Mane kulalamika wakati anajua alisaini mwenyewe ?Mane alisubiri mkataba wake wa awali kuisha kisha akaja na Dau jipya walivyokataa simple akasepa zake Bayern .

Hata Man U Herera alikuwa anizidiwa mshahara na wakina Smalling pamoja yeye kuwa muhimu na anajituma kushinda wao ,alichokifanya alisubiri mkataba wake uishe alivyoomba kuongezeka dau Man U walipigoma simple akasepa zake Psg.
Hizi mbumbumbu hamna kitu kichwani aisee utasema wachezaji wao wanalipwa pesa mengi wakati mzamiru anapitwa na kibu Dennis
 
' Kila mchezaji mzawa hatakubali Feisal pekee ndiye arekebishiwe kipato huku wote wanakimbiza mpira dk 90! hili swala la feisal limeanzia kwa Stephane Aziz-K kununuliwa kwa bei mbaya na kuwa mchezaji ghali klabuni.

Ikumbukwe mama mzazi wa Azizi K ndiye aliyekuwa meneja wake. Leo feisal kudai maboresho makali yanga huku mama yake mzazi akiwa mmoja wa wakala wake.

Ni Bora Yanga imuachie aende zake Azam au SSC kuliko kumkubalia madai yake halafu kila mchezaji mzawa naye aje na wakala wake kulalamikia kipato hakitoshi.

Huu ni mgogoro hautofautiani na ule wa India na jimbo la kashmir kudai kujitenga kwa sababu India ili mruhusu Pakisatn kujitenga.

Serikali ya india imejikuta ikiandamwa na majimbo kadhaa yenye dini tofauti na hindu kujitaka kujitenga kwa sababu moja tuu pakistan ilikubaliwa.

YANGA MENEJIMENT IMRUHUSU FEISAL AONDOKE AKACHEZE MPIRA ATAKAKO KULIKO KUMKUBALIA MADAI YAKE ILI KUEPUSHA VINYONGO KUZAGAZAGAA KWA WACHEZAJI WAZAWA.
Pole sana Kolo, ulidhani Fei ataondoka ? Ulijidanganya sana. Ya kwenu yamewashinda kutwa kujadili Fei ! Kweli Ngada haimuachi mtu salama.
 
Back
Top Bottom