Nambie kwanza wewe ni dini gani. mbona unakwepa hilo swali?Enhee mpenzi wako ambae una asilimia kubwa kwamba ana mapenzi ya dhati na wewe akiteleza utamhukumu vipi? Utamtema au utamtupia lawama za kuangukia kwenye vishawishi tu?
Labda nikuulize deskmate, jibu lako ulitaka kuliegemeza kwenye dini? au? cuz I love everything about JF lakini linapokuja suala la udini huu ukumbi unachafuka ndani ya sekunde, so just be general litanitosha kabisa jibu lako.Nambie kwanza wewe ni dini gani. mbona unakwepa hilo swali?
Mkuu umepotea sana au unaifanyia kazi ile script yako ya nyumba ndogo kwa vitendo?hii thread ishafika huku...
Basi ni bora nisijibu kabisa.Labda nikuulize deskmate, jibu lako ulitaka kuliegemeza kwenye dini? au? cuz I love everything about JF lakini linapokuja suala la udini huu ukumbi unachafuka ndani ya sekunde, so just be general litanitosha kabisa jibu lako.
Wewe ulijibu vipi?hii thread ishafika huku...
mmmmh yaani all this waiting for my sweetest deskmate nione mchango wake kumbe nimeambulia patupu. Khaaa!Basi ni bora nisijibu kabisa.
Mkuu umepotea sana au unaifanyia kazi ile script yako ya nyumba ndogo kwa vitendo?
Wewe ulijibu vipi?
Halaf nimegundua bana, zinasababisha memory loss. Kuna mshkaji wangu flani hapa daily ananiulizia njia yake ya kwendea kazini. Ana nyumba ndogo kama tatu ivinazipunguza hizo nyumba ndogo
zimekuwa nyingi mno lol
Kwa kifupi tu... very briefly and very generally:mmmmh yaani all this waiting for my sweetest deskmate nione mchango wake kumbe nimeambulia patupu. Khaaa!
Samtaimu mtu unatamani ungeumbwa kipofu au at least makengeza. Balaakila mwanamke mwenye wowowo
kwangu ni temptation ya kufa mtu....sijui nisemeje hapo...lol
Wooow! unaona sasa ulitaka kuninyima elimu bure bwana deskmate, ila hapo kwenye bracket mwisho mbona umenishtua?Kwa kifupi tu... very briefly and very generally:
God's love for us is pure kuliko hat apenzi la dhati, sio?
When we deceive God, and we disappoint him, what does He do?
Anaangalia yule mwenye kukiri makosa yake kwa kumaanisha, na anamsamehe, sio?
So the same should applie. Kama ni penzi la dhati liwe both ways
Sio wewe utake mwenzio akupende kwa dhati na awe perfect
ila usahau kua na wewe, as mpenzi wa dhati, unatakiwa kumsamehe
the only condition if for him to be sorry for what happened
Hili ni kwa wale wenye penzi la dhati (Mimi sipendi kwa dhati lakini)
So hata ukiwa na mpenzi unae mpenda kwa dhati akae akijua tu kua you can't resist that?kila mwanamke mwenye wowowo
kwangu ni temptation ya kufa mtu....sijui nisemeje hapo...lol
Mimi nikipenda I don't expect you to be perfect,Wooow! unaona sasa ulitaka kuninyima elimu bure bwana deskmate, ila hapo kwenye bracket mwisho mbona umenishtua?
Thanx, mchango wako umeniongezea knowledge.
Siwezi kumjibia the boss lakini for me , sometimes I like and fancy to fight against my own self desiresSo hata ukiwa na mpenzi unae mpenda kwa dhati akae akijua tu kua you can't resist that?
So hata ukiwa na mpenzi unae mpenda kwa dhati akae akijua tu kua you can't resist that?
na mara nyingi nani anashinda?Siwezi kumjibia the boss lakini for me , sometimes I like and fancy to fight against my own self desires
kwa hiyo she should show some appreciation?ajue tu nikiona wowowo na nikijizuia basi
nampenda kweli...na nime sacrifice a lot hapo lol
Hapo red imenitouch.Mimi nikipenda I don't expect you to be perfect,
And I am not perfect neither. so wewe ukinionesha imperfection
kwa kwenda nje na kushindwa na vishawishi
na mimi nitaonesha imperfection ya kushindwa kusamehe
Ngoma draw!