mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Umakini hautazingatiwa.Unawasiwasi kuwa umakini hautazingatiwa?au unaushaur gani
Apewe Julio, msaidizi Manara...meneja Mgosi.
DaaaahhhManara Sr?
Manara Jr?
hata akiletwa Pep Guadiola kichwa ni kilekile cha mwendawazimu,hizi qualification ni kwa sababu tunakutana na timu mbovu!aachwe uyo uyo aliyepo
Guadiola hata akipewa Alliance itacheza kama Barca tu.hata akiletwa Pep Guadiola kichwa ni kilekile cha mwendawazimu,hizi qualification ni kwa sababu tunakutana na timu mbovu!
JrManara Sr?
Manara Jr?
Itabidi wampe tu Ndailagije maana kibarua chake Azam kimeota nyasi. Mshika mawili moja limemponyoka.Huku wakiwa kwenye mchakato wa kutafuta kocha mkuu, hili suala nawaombeni TFF msikurupuke, mwishowe tuanze kulialia na kuwalaumu. Ushauri wenu wadau kwa TFF wakati wakiwa kwenye huu mchakato wa kutafuta kocha, mnaonaje?
Huyo kocha hafai anawacha wachezaji anatuletea waimbajiHuku wakiwa kwenye mchakato wa kutafuta kocha mkuu, hili suala nawaombeni TFF msikurupuke, mwishowe tuanze kulialia na kuwalaumu. Ushauri wenu wadau kwa TFF wakati wakiwa kwenye huu mchakato wa kutafuta kocha, mnaonaje?
Sande manara au manara snrKama Manara Jr nakubali mana huyu alicheza timu moja na Johan Cruyff! Pia akiwa USA, Manara aliwahi cheza game huku timu pinzani akiwa PELE! Tumpe timu.
Kocha wa Taifa Stars ni Mrundi.Kocha wa timu ya taifa mbona tayari ameshapatikana. Ni Ndairagije ambaye anakaimu kwa sasa. Bado hajatambulishwa rasmi tu. Waziri wa michezo tayari ameshafanya kikao na Azam na amewashauri Azam watafute Kocha mwingine. Huyu Ndairagije anapewa majukumu ya Timu ya Taifa. Nao Azam kiroho saaafi wameshakubali.
Ubaguzi wa namna hii ulishakemewa sana na Rais wetu wa awamu ya kwanza. Mbona kuna Timu nyingi tu zinafundishwa na makocha wasio wazawa? na timu zao zinatwaa ubingwa. Huyu kocha wetu amekukera nini?Kocha wa Taifa Stars ni Mrundi.
Rais wa TFF ni Msomali
Katibu Mkuu wa TFF ni Mrundi
Haya tuendelee tuone tunafika wapi
Azam wamemtema huyu kocha kwani?Itabidi wampe tu Ndailagije maana kibarua chake Azam kimeota nyasi. Mshika mawili moja limemponyoka.
Asije kushangaa naye Msomali kamtema.