Suala la kuajiri kwa kutaka mtu awe kapitia JKT liangaliwe upya, JKT huwa hawachukui wote wanaomaliza kidato cha sita mafunzoni

Kwanza tujiulize vigezo vinavyotumika kuwachagua wa kwenda jkt. Kama ulivosema si wahitimu wote huenda, nafasi ni chache, japo pia ndani ya walio chaguliwa wengine hukwepa kwenda. Nafasi za kazi nazo ni chache, hata hao wanao kuwa wameitwa jkt si wote wanao chukuliwa. Kwa kazi serikalini naunga mkono hoja, kuwachukua waliopitia jkt ni sahihi.
 
In fact ni ubaguzi. Kuna wengine kwa sababu za hali zao kiafya na kimaumbile (wenye ulemavu kwa mfano) hawawezi kwenda JKT, ina maana hawatapata ajira hizo husika?
Wakati wa wito kwenda jkt, wenye ulemavu hutaarifiwa kambi ya kwenda, japo sikumbuki jina. Si kweli kwamba walemavu wote hawaendi jkt.
 
Ni mtu kwenda mahakamani kufungua maombi kutaka mahakama imuamuru mtoa tangazo kufuta ama kurekebisha tangazo kwa kuondoa hicho kigezo.

"Ila sasa ndio hivyo wanyonge sisi" (kwa sauti ya Nyerere)
Kila kazi huwa na vigezo vyake. Kuna siku walokole wataenda mahakamani kudai waruhusiwe kujiunga na jeshi lakini mahakama iamuru wasiende vitani.
 
Kama hukujua now you know.
Ni ujinga iwe inatangazwa wazi kuwa yeyote hata Kama hayuko kwenye list ya walioitwa JKT aende usiri wa Nini? Mnataka watoto wenu watukutu walioshindikana Kota za Jeshi na polisi na shule ndio waende au? Maana huko ndiko mitoto mitukutu inakopatikana
 
Hiyo inajulikana hata kama haipo rasmi. As a matter of fact, inatokea miaka yote tangu 2013, hasa baada ya kuwepo na tetesi kuwa usipopita JKT hauwezi kuajiriwa.
 
Kama hukujua now you know.
Mjiandae safari hi mkitoa List jiandaeni maelfu ambao hamkuwa list kujiunga na JKT kujaa kambi za JKT.Asante kutuonyesha kuwa Kuna mlango wa siri mlificha kuwa mtu hata Kama hayuko kwenye List ruksa kuripoti kambi yoyote
 
Hiyo inajulikana hata kama haipo rasmi. As a matter of fact, inatokea miaka yote tangu 2013, hasa baada ya kuwepo na tetesi kuwa usipopita JKT hauwezi kuajiriwa.
Uwazi kitu Cha muhimu Sasa ona watoto wa masikini kibao wasiokuwa informed wamesoma Hadi vyuo vikuu wanaachwa kwenye ajira wakati hawakuchaguliwa kwenda JKT na hawakujua kuwa waweza ingia kupitia mlango wa nyuma ili nao waajirike mbeleni .This is unfair.Mtoto Yuko kijijini kamaliza form six ana kabando ka Mia tano anacheki list anajiona hayumo si anajua basi Tena hatakiwi JKT? Waliojua haya watakuwa watoto wa mjini na wenye ndugu kwenye majeshi.Haiko sawa
 
Kwani ajira zotee zinahitaji mtu awe amepita jkt? Kwa ambae hajapita jkt ataomba sehemu ambazo hazihitaji sifa za kupita jkt.Over! Ajira zipi zinahitaji mtu awe kapita jkt?
Sahihi mkuu
 
Tatizo sheria nyingi zinatungwa bila kuangalia mazingira ya jamii kwa wakati husika
 
Sahihi mkuu
 
Mjiandae safari hi mkitoa List jiandaeni maelfu ambao hamkuwa list kujiunga na JKT kujaa kambi za JKT.Asante kutuonyesha kuwa Kuna mlango wa siri mlificha kuwa mtu hata Kama hayuko kwenye List ruksa kuripoti kambi yoyote
Huwa wana-report kila mwaka boss, hata kama hawajapangiwa.
 
Nilijua hiki kitu nikiwa shuleni. Huko mashuleni tunaambizana sana, na kweli tulikuta ndiyo uhalisia.
 
Yehodaya na wewe unataka kazi? wakati juzi kati ulileta uzi hapa ukiwabeza vijana kwamba uliwafanyia interview ya kazi na kuwauliza noti ya shilingi elfu kumi ina mnyama gani wakashindwa kujibu.

Ni nini kilikukuta mkuu.
 
Kwani ajira zotee zinahitaji mtu awe amepita jkt? Kwa ambae hajapita jkt ataomba sehemu ambazo hazihitaji sifa za kupita jkt.Over! Ajira zipi zinahitaji mtu awe kapita jkt?
Sasa uhamiaji na kupitia JKT wapi na wapi kwa mfano??
 
Bado haihalalishi kuchukua hao wa jkt ajira zitolewe atakayeshinda usahili achukuliwe tu Sasa bila jkt huitwi interview na una vigezo vingine vyote why wasikuchukue wamekazania jkt, hizo mambo ndio zinazouaga ubunifu maofisini maana watu waishi Kwa ku cremisha tu na sio competency
 
Yehodaya na wewe unataka kazi? wakati juzi kati ulileta uzi hapa ukiwabeza vijana kwamba uliwafanyia interview ya kazi na kuwauliza noti ya shilingi elfu kumi ina mnyama gani wakashindwa kujibu.

Ni nini kilikukuta mkuu.
Wapi nimesema nataka kazi? Umelewa au ? Nini? pombe sio chai acha pombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…