Wameandika ktk documents zao za ajira, hadi wenye vyeti vya udereva basic, fundi wa veta hizo sio degree wqlq masters, nk hivyo na wenyewe wameangaliwa muhimu ni jkt
Polisi waliajiri watu walio pitia JKT na wenye taalma ambao hawa kupita JKT kama sikosei usaili wamefanyia DSM, wajkt wamefanyia ktk makambi na mikoani
Serikali ipo makini ina tambuq wimbi la wasio na ajira
Tukumbuke vijana wengi walio JKT walirejeshwa makwao na jamii ilipaza sauti, serikali ikawasikia na kuwarejesha makambini na sasa wana waajiri lakini naona ni kama jamii ile ile haitak mfumo huo