Asante mada yangu naona itafungua macho wengi form six kuwa wakaripoti kambi ya karibu hata Kama JKT hawajawaitaHuwa wana-report kila mwaka boss, hata kama hawajapangiwa.
Bongo ni miongoni mwa nchi zenye wananchi wa ajabu sana mkuu.Wameandika ktk documents zao za ajira, hadi wenye vyeti vya udereva basic, fundi wa veta hizo sio degree wqlq masters, nk hivyo na wenyewe wameangaliwa muhimu ni jkt
Polisi waliajiri watu walio pitia JKT na wenye taalma ambao hawa kupita JKT kama sikosei usaili wamefanyia DSM, wajkt wamefanyia ktk makambi na mikoani
Serikali ipo makini ina tambuq wimbi la wasio na ajira
Tukumbuke vijana wengi walio JKT walirejeshwa makwao na jamii ilipaza sauti, serikali ikawasikia na kuwarejesha makambini na sasa wana waajiri lakini naona ni kama jamii ile ile haitak mfumo huo
uhamiaji nazo jeUna taarifa na ulichochangia, au umekurupuka?
Ajira zinazohitaji kupita JKT ni hizo za vyombo vya ulinzi na usalama, ambazo kiuhalisia nyingi (ukiacha IT) zinahitaji usiwe na ulemavu wowote.
Siku nyingine tafuta taarifa kabla ya kuchangia. Siyo kila mada lazima uchangie.
Pia unaweza kupangwa mafinga ukaenda ruvu na ukapiga miezi yako mitatu ukasepa zako uwe na sifa tu za kwenda huko kama ni mujibu wa sheria.Mjiandae safari hi mkitoa List jiandaeni maelfu ambao hamkuwa list kujiunga na JKT kujaa kambi za JKT.Asante kutuonyesha kuwa Kuna mlango wa siri mlificha kuwa mtu hata Kama hayuko kwenye List ruksa kuripoti kambi yoyote
TISS na Takukuru chukueni majina yote ya waliojiunga nje ya kuitwa JKT walioingia kinyemela mlango wa nyuma walioomba kazi serikalini I smell a rotten rat somewhere Kuna watu waweza kutaka kupenyezwa ndani ya system ya nchi kupitia dirishani badala ya mlangoni .TISS scrutize kila aliyepitia dirishani badala ya mlango official wa kuitwa ku report kambi za JKT .Huwa wana-report kila mwaka boss, hata kama hawajapangiwa.
Acha uongo wewe,mlemavu gani umesikia hakwenda Jkt.In fact ni ubaguzi. Kuna wengine kwa sababu za hali zao kiafya na kimaumbile (wenye ulemavu kwa mfano) hawawezi kwenda JKT, ina maana hawatapata ajira hizo husika?
Shukuru mama anatoa maelfu ya ajira,ulikuwa unakesha kumsifia bwanako na upuuzi wake humu..Ni kawaida Kila mwaka JKT kuchukua wanafunzi wa kidato Cha sita na kuwapangia kambi za mafunzo ya JKT wanakotakiwa kuripoti.Lakini huwa hawachukui wote waliomaliza form six huchukua wachache na wengine kuachwa
Sasa linapokuja suala la ajira mtu hutakiwa awe na cheti Cha JKT Sasa huyo ambaye hakupewa hiyo nafasi inakuwaje ? Sababu si kuwa aligoma kwenda Bali hakupata nafasi .
Soma thread yote utajua Kuna shida mahaliShukuru mama anatoa maelfu ya ajira,ulikuwa unakesha kumsifia bwanako na upuuzi wake humu..
Apewe anachostahili huko huyu mumeo hapa π
View attachment 1987660
View attachment 1987661
Tulia huna credibility ya kuongea,wewe na marehemu mumeo mlitoa ajira zipi miaka yote 6? Hadi sasa mama kaajiri Zaidi ya watu 30,000..S
Soma thread yote utajua Kuna shida mahali
Ulichoongea tuwaaachie TISS na Takukuru kwa Nini mfano mtu hajaripoti kwa Nini wasichukuliwe wengine walioachwa kuchukkuliwa sababu kujiunga JKT kwa form six huandiki barua ya kujiunga .Kwa Nini JKT haikuwa na second baada ya waliopewa kugoma ? selection ohh wakachukua kinyemela gizani .Hii issue TISS Ndio jukumu lao kujua why? Sio kesi ya JKT tenaKazi zipo za aina nyingi, sio lazima wote waajiriwe na vyombo vya Ulinzi na Usalama. Huo ni ukweli mchungu. Kama kweli mtu hivyo vyombo vilikua damuni nafasi za kwenda kujitolea JKT kwa mkataba wa miaka miwili huwa zinatoka kila mwaka, na vijana kuanzia la 7 mpaka wenye elimu za juu huwa wanachukuliwa na michakato inafanyikaga wilaya zote. So hiyo ya kusema form 6 wengine hawachaguliwagi kwenda mujibu wa sheria sio excuse hata kidogo, wangeenda hata kwa kujitolea kama kweli wanalipenda Jeshi kiasi hicho. Kulikua na vijana wa Operesheni Mererani na Magufuli, hao walijitolea miaka kibao JKT kwa posho ya kujikimu tu 50k/month, na mwisho wa siku mikataba ikaisha wakarudishwa majumbani na vyeti tu, vijana wakafungua moyo na hatujasikia vurugu zozote mitaani. Huo ni zaidi ya uzalendo. Ila hata humu jukwaani wapo waliokua wanawadhihaki hao vijana kwa kwenda huko JKT na mwisho kurudi bila ajira. Leo hii ajira za vyombo vya Ulinzi na Usalama zimetoka na zitaendelea kutoka, kwanini mnataka vijana wazalendo kama hao waliojitolea kwa moyo kabisa kujenga taifa lao kupitia JKT wasipewe kipaumbele? Wanastahili
Jikite kwenye hoja iliyoko mezani tafadhali huna kaanzishe mada yako mpya huzuiwi.Hii iache Kama ilivyo.Usidandie mada yangu kaanzishe yakoTulia huna credibility ya kuongea,wewe na marehemu mumeo mlitoa ajira zipi miaka yote 6? Hadi sasa mama kaajiri Zaidi ya watu 30,000..
Na sasa tunaenda kwa mwendo was kukuza private sector ambayo mliiua π
View attachment 1987665
View attachment 1987666
View attachment 1987667
View attachment 1987668
Jkt huwa Ina second selection sheikhe....hata ukikosa kuchaguliwa ukijipeleka hawakukatai ilimradi Uwe umemaliza fom6 Tu mwaka huoUlichoongea tuwaaachie TISS na Takukuru kwa Nini mfano mtu hajaripoti kwa Nini wasichukuliwe wengine walioachwa kuchukkuliwa sababu kujiunga JKT kwa form six huandiki barua ya kujiunga .Kwa Nini JKT haikuwa na second baada ya waliopewa kugoma ? selection ohh wakachukua kinyemela gizani .Hii issue TISS Ndio jukumu lao kujua why? Sio kesi ya JKT tena
Hapo kujipeleka Ndio Kuna manenoJkt huwa Ina second selection sheikhe....hata ukikosa kuchaguliwa ukijipeleka hawakukatai ilimradi Uwe umemaliza fom6 Tu mwaka huo
Uhamiaji wapo kwenye kundi la vyombo vya ulinzi na usalama.uhamiaji nazo je