Suala la kuhama mbona linaonekana Kama ni mateso kwa watumishi wa umma?

Suala la kuhama mbona linaonekana Kama ni mateso kwa watumishi wa umma?

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
Siku ya Alhamisi Waziri wa tamisemi alitoa kauli ya kuisitisha uhamisho wa watumishi walioko chini ya Wizara yake (TAMISEMI) Ila akasisitiza labda mtu akitaka toka mjini kwenda Kijiji ndiye anayerusiwa kupata kibali Cha kuhama.

Swali langu je kuhama si ni haki ya kila mtumishi? Siyo kila mtu anapenda kuhamia mjini bila sababu za msingi.

Mbona yeye na familia yake wanaishi mjini?
 
Hapa sanasana walengwa ni waalimu;
NATAMANI KUMUONA MWALIMU AKIHESHIMIWA,ILA TUJIPE MUDA HUENDA WATASIKIA;
 
Back
Top Bottom