Juuchini
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 1,644
- 2,300
Rahisi kupata maambukizi ya virusi vya ukimwiHabari wana JF
Kuna kijana wa miaka 23 yupo chuo na bado hajatahiriwa.
sasa anataka kwa hali na mali atahiriwe naombeni nijulisheni anapona baada ya Muda Gani na inagharimu shilingi ngapi za kitanzania.
Na Je akitahiriwa akiwa chuo haitaathiri shughuli zake za hapa na pale za kimasomo?
Niulize Tena
Na je asipofanya Mazima kutakuwa na Madhara au Matatizo huko Mbeleni?
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app