Suala la kuuliza kabila kwenye ofisi za umma inachochea Ukabila

Suala la kuuliza kabila kwenye ofisi za umma inachochea Ukabila

CHEDU

Senior Member
Joined
Dec 24, 2015
Posts
198
Reaction score
190
Habari wanajukwaa,

Haya masuala ya kuuliza makabila ya watu kwenye ofisi za umma yanakera sana na yanachochea ubaguzi wa kikabila, nafikiri ni muda sahihi sasa wa kuyapiga marufuku hasa tunapoekea kutafuta kabila mpya.

Haya mambo utayakuta Polisi, JKT, Hospitali, bodi ya Mikopo n.k

Kwakweli tuyapinge kwa nguvu sana.
 
Lakin sasa ndo tuhalalishe hadi kwenye official documents za uma [emoji15] sijaona sehemu nyingine duniani
 
Mimi nikienda mahala mtu akaniuliza kabila langu hapohapo namchukulia kama Mjinga, Mpumbavu na Mshamba.

Nashangaa kwenye kadi za baadhi ya mahospitali na Polisi huko huwa wanauliza makabila ya watu.

Stupid!
 
Inakera sana tena sana.
 
Habari wanajukwaa,

Haya masuala ya kuuliza makabila ya watu kwenye ofisi za umma yanakera sana na yanachochea ubaguzi wa kikabila, nafikiri ni muda sahihi sasa wa kuyapiga marufuku hasa tunapoekea kutafuta kabila mpya.

Haya mambo utayakuta Polisi, JKT, Hospitali, bodi ya Mikopo n.k

Kwakweli tuyapinge kwa nguvu sana.
Nenda taasisi fulani inayojishughulisha na hela za serikali ndio utashangaa wanaongea lugha ya kikabila ofisini. Ni watu wa Mara tupu siku hizi wamejaa.
Wenye macho tunaona tumawaangalia tu.
 
Mimi nikienda mahala mtu akaniuliza kabila langu hapohapo namchukulia kama Mjinga, Mpumbavu na Mshamba.

Nashangaa kwenye kadi za baadhi ya mahospitali na Polisi huko huwa wanauliza makabila ya watu.

Stupid!
Vipi kuhusu vitabu vya nyumba za kulala wageni au hoteli? Huwa unalikwepaje swali la kabila lako?
 
Habari wanajukwaa,

Haya masuala ya kuuliza makabila ya watu kwenye ofisi za umma yanakera sana na yanachochea ubaguzi wa kikabila, nafikiri ni muda sahihi sasa wa kuyapiga marufuku hasa tunapoekea kutafuta kabila mpya.

Haya mambo utayakuta Polisi, JKT, Hospitali, bodi ya Mikopo n.k

Kwakweli tuyapinge kwa nguvu sana.
Nchi ni makabila lazima ijulikane kabila haina mjadala
 
Vipi kuhusu vitabu vya nyumba za kulala wageni au hoteli? Huwa unalikwepaje swali la kabila lako?
Vile huwa sijazi kabisa taarifa zozote, wakilazimisha sana nadanganya.
 
Kuulizwa ukabila ,shida ipo wapi ? Waafrika tuna dhana duni Sana , kila mtu anachimbuko la atokako , be proud ,miye Sina tabia ya kuuliza mtu ,Ila nikiulizwa najibu vizuri tu
 
Ni kweli huwa inakwaza na kukera sana.

Kuna wakati nilienda TRA kwa issue fulani za kutoa toa maelezo kuhusu biashara nikapewa paper nijaze nikadanganya kabila shida ikaja kwenye jina la ukoo ni haya majina common likitajwa unajulikana unatoka wapi.

Aliyekuwa ananichukua maelezo akawa ananibana eti mbona hili jina siyo la kabila ulilotaja bahati mwenzake pembeni akamwambia kama ameandika hivyo yupo sahihi hata akiwa siyo wa huko si ameshatimiza takwa la kisheria?

Ikomeshwe hii tabia haifai.
 
Kuulizwa ukabila ,shida ipo wapi ? Waafrika tuna dhana duni Sana , kila mtu anachimbuko la atokako , be proud ,miye Sina tabia ya kuuliza mtu ,Ila nikiulizwa najibu vizuri tu
Nini umuhimu wa kujua chimbuko zaidi ya kujua tu kuwa ni Mtanzania?
 
Nimekuuliza wanauliza ili iweje?
Ni utambulisho wa mipaka, asili na usalama wa nchi yetu, hili swali waulize uhamiaji utajibiwa ndio utaelewa wewe hapa Tanzania sio kwako uende Burundi
 
Mimi nikienda mahala mtu akaniuliza kabila langu hapohapo namchukulia kama Mjinga, Mpumbavu na Mshamba.

Nashangaa kwenye kadi za baadhi ya mahospitali na Polisi huko huwa wanauliza makabila ya watu.

Stupid!
Makabila yanaulizwa ili kuwa na takwimu za tabia,magonjwa kwa kila kabila...mfano sickle cell ipo nyingi tabora,so tungekua tumeadvance kisayansi tulipaswa chunguza sababu
 
Habari wanajukwaa,

Haya masuala ya kuuliza makabila ya watu kwenye ofisi za umma yanakera sana na yanachochea ubaguzi wa kikabila, nafikiri ni muda sahihi sasa wa kuyapiga marufuku hasa tunapoekea kutafuta kabila mpya.

Haya mambo utayakuta Polisi, JKT, Hospitali, bodi ya Mikopo n.k

Kwakweli tuyapinge kwa nguvu sana.
wewe nimiongoni mwa wanaoficha kabila kabila lako
 
Back
Top Bottom