CHEDU
Senior Member
- Dec 24, 2015
- 198
- 190
- Thread starter
- #21
wewe nimiongoni mwa wanaoficha kabila kabila lako
Unataka ujue kabila langu ili iweje, inaongeza nini, kwann usinitambue kama mtanzania tuh, au unataka ujue kabila langu ili uone namna ya kunipa huduma nzuri au mbaya
Haya maswali ya ukabila na udini yalikua ya kikoloni kuwagawa watu tuh na sie tumeyarithi tunaona yanafaa wakati ni upuuzi mkubwa
Niulize utaifa wangu na sehemu nilipozaliwa iyo yatosha