Suala la kuuliza kabila kwenye ofisi za umma inachochea Ukabila

wewe nimiongoni mwa wanaoficha kabila kabila lako

Unataka ujue kabila langu ili iweje, inaongeza nini, kwann usinitambue kama mtanzania tuh, au unataka ujue kabila langu ili uone namna ya kunipa huduma nzuri au mbaya

Haya maswali ya ukabila na udini yalikua ya kikoloni kuwagawa watu tuh na sie tumeyarithi tunaona yanafaa wakati ni upuuzi mkubwa

Niulize utaifa wangu na sehemu nilipozaliwa iyo yatosha
 
Kumbuka kuna wahamiaji Haram, muda mwingine wanauliza makabila kujua nationality ya mtu, na nirahisi kuwadaka mamluki
 
Hospital kabila ni muhimu maana Kuna makabila yanajulikana kwa magonjwa flani, polisi kuna mambo yanaweza yasiwe makosa kwa kabila flani!
 
Hospital kabila ni muhimu maana Kuna makabila yanajulikana kwa magonjwa flani, polisi kuna mambo yanaweza yasiwe makosa kwa kabila flani!

Embu tuambie hayo magonjwa na makosa ?..

Nini kazi ya usalama wa taifa na maresearcher ndani ya nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…