wewe nimiongoni mwa wanaoficha kabila kabila lako
Kumbuka kuna wahamiaji Haram, muda mwingine wanauliza makabila kujua nationality ya mtu, na nirahisi kuwadaka mamlukiNi kweli huwa inakwaza na kukera sana.
Kuna wakati nilienda TRA kwa issue fulani za kutoa toa maelezo kuhusu biashara nikapewa paper nijaze nikadanganya kabila shida ikaja kwenye jina la ukoo ni haya majina common likitajwa unajulikana unatoka wapi.
Aliyekuwa ananichukua maelezo akawa ananibana eti mbona hili jina siyo la kabila ulilotaja bahati mwenzake pembeni akamwambia kama ameandika hivyo yupo sahihi hata akiwa siyo wa huko si ameshatimiza takwa la kisheria?
Ikomeshwe hii tabia haifai.
Kwa akili yako unadhani mgeni hawezi kusema yeye ni msukuma au mpare, ofisi itamuweka chini imuhoji ?Kumbuka kuna wahamiaji Haram, muda mwingine wanauliza makabila kujua nationality ya mtu, na nirahisi kuwadaka mamluki
Kwa akili yako unadhani mgeni hawezi kusema yeye ni msukuma au mpare, ofisi itamuweka chini imuhoji ?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unajua changamoto walizopitia watu wa NIDA wakati wa uandikishaji hasa maeneo ya kigoma, rukwa, mtwara na maeneo mengine ya mipakani..?Kwa akili yako unadhani mgeni hawezi kusema yeye ni msukuma au mpare, ofisi itamuweka chini imuhoji ?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app