Banjuka
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 1,007
- 1,922
Huo ni uoga wa Taifa lililoshindwa kudhibiti hali ya usalama. Yan tuache hali ya miji yetu mizuri iendelee kuchafuka kwa sababu tuna hofu kwamba tukiwaondoa wataanza kutuibia majumbani mwetu?Minada inafanyika mara ngapi kwa wiki? Unataka wakauze kusikokua na wateja ili nani anunue?
Hadi waanze kuanua nguo zako ulizofua ukaanika na kukuchomolea sidemirrors ukiwa unaendesha gari yako ndio utaelewa kwamba wao pia wanatafuta chochote waishi na wao pia wana majukumu na familia kama wewe
Nitaendelea kusema Kinachotakiwa ni kuwapangia na kuwasimamia sio kuwafukuza
Polisi na vyombo vingine vya Usalama kazi yake nini?