Suala la Mafuta Spika acha unafiki hili suala ulishauri tangu Juni 2022 kwamba unda Tume kuchunguza ukakaaa kwa sababu ulitaka kumlinda Waziri Januari Makamba kwa manufaa binafsi unayoyajua wewe.
Leo umeona Makamba hayupo ndio unajifanya kuunda tume ukamchunguze Dotto Biteko huku ukijua matatizo hayo ameyasababisha nani na kwa manufaa gani
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alikushauri bungeni mwaka jana na ushahidi huu hapa na ukapuuza leo unajifanya kuigiza Serikali ikafanye tathmini badala ya wewe Spika kuunda Tume Huru ya Bunge kuchunguza suala hili.
View: https://youtu.be/oy6DoaJUiF0?si=iplj4raDQNPtwI5H
Leo umeona Makamba hayupo ndio unajifanya kuunda tume ukamchunguze Dotto Biteko huku ukijua matatizo hayo ameyasababisha nani na kwa manufaa gani
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina alikushauri bungeni mwaka jana na ushahidi huu hapa na ukapuuza leo unajifanya kuigiza Serikali ikafanye tathmini badala ya wewe Spika kuunda Tume Huru ya Bunge kuchunguza suala hili.
View: https://youtu.be/oy6DoaJUiF0?si=iplj4raDQNPtwI5H