Suala la Mashoga lamponza Dudubaya. Apandishwa kizimbani kwa makosa ya kimtandao na kutoa lugha za matusi dhidi ya jamhuri na Kusaga

Ku-prove ni yeye aliandika ni changamoto mzee.

Account tu sio issue,i la ishu ni kusema kwa uhakika beyond reasonable doubt kwamba ni yeye kweli owner wa hiyo account.

Thats a toll order
Hivi wakili wa washtaki yaani serekali akisema uchunguzi umekamilika unaelewa nini?
 
Acha kujitoa ufahamu. Shoga ni ms.enge. Hakuna tafsiri tata hapo. Na kujihusisha na usenge au wasenge ni kashfa kubwa sana.
Katazame kamusi ya kiswahili maana ya neno shoga. Acha kushupaza shingo kwa kuwa umeona jina Dudubaya.
 
Makanjanja mna shida sana!

Mwenyewe umekaa hapo na katekno chako masikini unajitia mchambuzi wa sheria!!

Wajuaji kama ninyi mkitandikwa nyundo mnaanza kuhamaki na kumwaga vilio!

Just chill bro! Usijifanye una maarifa kuliko mahakama!
Punguza makasiriko. Hakuna kesi yoyote hapo wanapoteza muda wa mahakama.
 
Kesi ni ya Jamhuri na huyo kusaga ambaye ni victim atakua shahidi tu.
 
Jamani tafadhali tuwekeeni picha ya huyo mdudu, wengine hatujuwi anafanana na mdudu wa namna gani, tunataka kumfananisha na wanyama wa hapa Serengeti.
 
Kwanza wee unajibu ki pupa hivyo vipi? Afu nani anayeona ujinga kusaga kwenda mahakamani? rudi juu kasome comments zangu utaelewa.

Mie nime muhoji kuhusu maana halisi ya neno shoga.
Huyo dudubaya anajulikana wazi ni mshenzi wa tabia, na hakna kificho, sheria ifuate mkondo wake na haki ipatikane.

Nipo upande wa kusaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…