sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,759
Hivi wakili wa washtaki yaani serekali akisema uchunguzi umekamilika unaelewa nini?Ku-prove ni yeye aliandika ni changamoto mzee.
Account tu sio issue,i la ishu ni kusema kwa uhakika beyond reasonable doubt kwamba ni yeye kweli owner wa hiyo account.
Thats a toll order