Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Habar zenu ndugu, jamaa na marafiki mliopo humu..
Ndugu zangu baada ya kupokea taarifa ya kukamatwa kwa mwenyekigoda wa chama fulani, wengi wetu tulijua sasa kutachimbika.
Mfano mimi binafsi nilijua viongozi wa chama chake wangewaongoza wafuasi wao nchi nzima wafanye mgomo wa kula, kunywa, kutoka nje, kuoga nk ili kuishinikiza mamlaka iamue vinginevyo kuhusu mwenyekigoda wao. Lkn kwa bahati mbaya tulichokuwa au nilichokuwa nafikiria imekuwa tofauti.
Watu wanajiachia mitaani kama kawa, shughuli za kila siku zinaendelea, nyama zinachomwa na kuliwa mitaani kama kawa, vyakula vinaliwa mitaan na majumban kama kawa, pombe zinanyweka, na baa zinajaa kama vile hakuna kilichotokea kwa kiongozi mwenye hadhi kubwa kama yake.
Napata shaka kuwa huenda kuna mkono na msukumo wa watu kutoka ndan ya chama chake kuhusiana na swala hili.
Chukulia kauli ya kususwa asiwekewe dhamana nk. Waswahili wanasema siku zote "Kikulacho ki nguoni mwako".
Pole bwana Abubakar... hii ndo dunia.
Ndugu zangu baada ya kupokea taarifa ya kukamatwa kwa mwenyekigoda wa chama fulani, wengi wetu tulijua sasa kutachimbika.
Mfano mimi binafsi nilijua viongozi wa chama chake wangewaongoza wafuasi wao nchi nzima wafanye mgomo wa kula, kunywa, kutoka nje, kuoga nk ili kuishinikiza mamlaka iamue vinginevyo kuhusu mwenyekigoda wao. Lkn kwa bahati mbaya tulichokuwa au nilichokuwa nafikiria imekuwa tofauti.
Watu wanajiachia mitaani kama kawa, shughuli za kila siku zinaendelea, nyama zinachomwa na kuliwa mitaani kama kawa, vyakula vinaliwa mitaan na majumban kama kawa, pombe zinanyweka, na baa zinajaa kama vile hakuna kilichotokea kwa kiongozi mwenye hadhi kubwa kama yake.
Napata shaka kuwa huenda kuna mkono na msukumo wa watu kutoka ndan ya chama chake kuhusiana na swala hili.
Chukulia kauli ya kususwa asiwekewe dhamana nk. Waswahili wanasema siku zote "Kikulacho ki nguoni mwako".
Pole bwana Abubakar... hii ndo dunia.