Suala la mipango miji ndo imetushinda kabisa waafrika.

Suala la mipango miji ndo imetushinda kabisa waafrika.

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni mbaya sana sio nzuri kabisa sababu kubwa na kutokuwepo kwa mipango miji ambayo ndo chachu ya kupendezesha miji

Kama umeshawahi kwenda nchi yeyote ya western utaona jinsi kulivyo pangiliwa na kunavyopendeza mfano ukienda japan ni super clean na huwezi ona madustibin ila huwezi ona watu wakitupa tupa uchafu hovyo

Miji mipya kama goba na chanika ambayo haina hata miaka 30 ni ya juzi tu ila ajabu imejengwa squatter haijapangaliwa

Nyerere alisoma edinburgh kabla hata nchi haijapata uhuru swali ambalo najiulizaga inamaana baada ya uhuru alishindwa kuweka mifumo mizuri ya upangaji miji na vijijini sababu alishawahi enda na kuishi ulaya kabla hata ya uhuru

Marais wetu wanafanya sana safari za nje ya nchi hivi hawaoni aibu wanaporudi na kuona nchi zao zipo bila hata mpangalio yaani ni virugu mechi

Yaani miji ya afrika yote inafanana michafu, haijapangiliwa na viongozi wapo ukitoa ile ya afrika kaskazini kule kuna mpangilio sio kama huku sub sahara

Mchango wako ni muhimu
 
Nakumbuka jinsi inavyoniuma ile KIPINDI NDEGE inakaribia KUTUA. Unaanza kuona MABATI YA KIPAWA NA GOMZ na BONGO YOTE. Inauma sana . Ukitoka airport mitaa haieleweki. Huwa naumia sana nikiwa natoka nje ya nchi. Najiuliza kwa viongozi wakubwa . Je ni sawa ?
Sio wewe tu inakera sana
Ila cha ajabu viongozi wetu ambao wana mamlaka ya kubadilisha hii hali hata aibu hawaoni
 
Nakumbuka jinsi inavyoniuma ile KIPINDI NDEGE inakaribia KUTUA. Unaanza kuona MABATI YA KIPAWA NA GOMZ na BONGO YOTE. Inauma sana . Ukitoka airport mitaa haieleweki. Huwa naumia sana nikiwa natoka nje ya nchi. Najiuliza kwa viongozi wakubwa . Je ni sawa ?
Hata mim roho huwa inaniuma sana boss yaani we acha ....
 
Nakumbuka jinsi inavyoniuma ile KIPINDI NDEGE inakaribia KUTUA. Unaanza kuona MABATI YA KIPAWA NA GOMZ na BONGO YOTE. Inauma sana . Ukitoka airport mitaa haieleweki. Huwa naumia sana nikiwa natoka nje ya nchi. Najiuliza kwa viongozi wakubwa . Je ni sawa ?
Inaumiza mno unaona kama unatua kwenye likijiji lipo zigzag. Jaribu utue Oliva Tambo mji unavutia toka ukiwa juu. Hapa ndio utagundua viongozi wetu kuna mambo walifeli bigtime
 
Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni mbaya sana sio nzuri kabisa sababu kubwa na kutokuwepo kwa mipango miji ambayo ndo chachu ya kupendezesha miji

Kama umeshawahi kwenda nchi yeyote ya western utaona jinsi kulivyo pangiliwa na kunavyopendeza mfano ukienda japan ni super clean na huwezi ona madustibin ila huwezi ona watu wakitupa tupa uchafu hovyo

Miji mipya kama goba na chanika ambayo haina hata miaka 30 ni ya juzi tu ila ajabu imejengwa squatter haijapangaliwa

Nyerere alisoma edinburgh kabla hata nchi haijapata uhuru swali ambalo najiulizaga inamaana baada ya uhuru alishindwa kuweka mifumo mizuri ya upangaji miji na vijijini sababu alishawahi enda na kuishi ulaya kabla hata ya uhuru

Marais wetu wanafanya sana safari za nje ya nchi hivi hawaoni aibu wanaporudi na kuona nchi zao zipo bila hata mpangalio yaani ni virugu mechi

Yaani miji ya afrika yote inafanana michafu, haijapangiliwa na viongozi wapo ukitoa ile ya afrika kaskazini kule kuna mpangilio sio kama huku sub sahara

Mchango wako ni muhimu
Viongozi wa Afrika wanawaza matumbo yao jinsi gani waibe na kulisishana madaraka kwa watoto wao basi
Ndio maana nasema wazungu na waarabu wameondoka kututawala tumebaki tunatawaliwa na hawa wenzetu weusi
 
Viongozi wa Afrika wanawaza matumbo yao jinsi gani waibe na kulisishana madaraka kwa watoto wao basi
Ndio maana nasema wazungu na waarabu wameondoka kututawala tumebaki tunatawaliwa na hawa wenzetu weusi
Mfano baba yake uhuru kenyata aliishi ulay zaidi ya miaka 10 karudi afrika kaaminiwa kapewa nchi baada ya uhuru kaimilikisha familia yake mashamba yale mazuri na akutunga sheria ardhi ni mali ya mtu na sio serekali
 
Mfano baba yake uhuru kenyata aliishi ulay zaidi ya miaka 10 karudi afrika kaaminiwa kapewa nchi baada ya uhuru kaimilikisha familia yake mashamba yale mazuri na akutunga sheria ardhi ni mali ya mtu na sio serekali
Hata leo hiiitokee tu waafrika twende kuishi ulaya na Ulaya waje Africa utaona mabadiliko
Sijui sisi ngozi nyeusi tumelaaniwa
 
Hatupendi kuwajibika kwa nafasi zetu, mtu hata ndani kwake hafanyi shughuli yoyote bila dada/kaka wa kazi.

Hata kufagia au kufanya usafi wa nje hafanyi labda uongozi wa mtaa umseme.
 
Nakumbuka jinsi inavyoniuma ile KIPINDI NDEGE inakaribia KUTUA. Unaanza kuona MABATI YA KIPAWA NA GOMZ na BONGO YOTE. Inauma sana . Ukitoka airport mitaa haieleweki. Huwa naumia sana nikiwa natoka nje ya nchi. Najiuliza kwa viongozi wakubwa . Je ni sawa ?

Halafu mabati karibia yote yameoza, yana kutu. Kwa Tanzania uwanja wa kilimanjaro unapata view nzuri sana. Mlima Kilimanjaro, Lake Manyara nk.

View ya Dar inaonyesha hali halisi ya Watanzania wengi. Kipato chao na maisha yao kwa ujumla.
 
Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni mbaya sana sio nzuri kabisa sababu kubwa na kutokuwepo kwa mipango miji ambayo ndo chachu ya kupendezesha miji

Kama umeshawahi kwenda nchi yeyote ya western utaona jinsi kulivyo pangiliwa na kunavyopendeza mfano ukienda japan ni super clean na huwezi ona madustibin ila huwezi ona watu wakitupa tupa uchafu hovyo

Miji mipya kama goba na chanika ambayo haina hata miaka 30 ni ya juzi tu ila ajabu imejengwa squatter haijapangaliwa

Nyerere alisoma edinburgh kabla hata nchi haijapata uhuru swali ambalo najiulizaga inamaana baada ya uhuru alishindwa kuweka mifumo mizuri ya upangaji miji na vijijini sababu alishawahi enda na kuishi ulaya kabla hata ya uhuru

Marais wetu wanafanya sana safari za nje ya nchi hivi hawaoni aibu wanaporudi na kuona nchi zao zipo bila hata mpangalio yaani ni virugu mechi

Yaani miji ya afrika yote inafanana michafu, haijapangiliwa na viongozi wapo ukitoa ile ya afrika kaskazini kule kuna mpangilio sio kama huku sub sahara

Mchango wako ni muhimu

Mipango ilikuwepo mingine mizuri tu. Nafikiri mji ulipangwa kuwe na viwanja vya michezo kila mahali, maeneo yatengwe kwa gardens, parks za mjini. Wananchi wawe na access kwenye maeneo yote ya baharini, maeneo ya barabara yalitengwa.

Kilichofanyika yote hayo yaliuzwa, wakubwa hadi barabarani wakajenga nyumba zao na kukata barabara. Acess za baharini wakazifunga.

Yote haya yalianza baada ya Nyerere.
 
Hatupendi kuwajibika kwa nafasi zetu, mtu hata ndani kwake hafanyi shughuli yoyote bila dada/kaka wa kazi.

Hata kufagia au kufanya usafi wa nje hafanyi labda uongozi wa mtaa umseme.
Ni kawaida nyumba za kupanga watu wanalazimishwa wafanye usafi wa choo
 
Back
Top Bottom