Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Naona umeamua kunitolea uvivu hahahhaNenda kajaribu kumpa usipende kuandikia mate na Tako unalo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeamua kunitolea uvivu hahahhaNenda kajaribu kumpa usipende kuandikia mate na Tako unalo mkuu
KEME hujamboo lakini kijana wangu?Wewe ni KE au ME?
Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Hakuna kitu kama hicho, wewe ukishakuwa maarufu au celebrity na wafuasi kibao wanaokupa misifa kila siku, ukienda kinyume na matarajio basi lazima uwe tayari kupewa mitusi na kashfa za kuzidi kiwango, mfano Elon Musk sasa anapata payback yake magari yake hayanunuliki tena share za TESLA zimeanguka big time in a just one month na sales zinasikitisha na inawezekana kabisa TESLA kufirisikaKwa kweli inasikitisha kuona watu wanawaingilia wenzao katika haki zao za kikatiba na kibinadamu.
Kwani msanii hatakiwi kushabikia CCM?
Mimi si mpenzi, mwanachama wala mshabiki wa CCM.
Lakini, kifalsafa, kila mtu ana haki ya kushabikia chama anachokitaka.
Tuwapinge watu kwa hoja, sio kwa sababu wameamua kushabikia chama fulani.
Kushabikia chama chochote anachoamua mtu, au mwanasiasa yeyote, ni haki ya uraia, ni haki ya kikatiba, ni haki ya kibinadamu.
Kwa nini watu wanaodai demokrasia wao wenyewe wanashindwa kuheshimu uamuzi wa watu wengine kushabikia vyama fulani au wanasiasa fulani, kitu ambacho ni sehemu ya demokrasia?
atafute dangaPigo la kuachana na mkewe limemtafuna ubongo, hadi leo naona hayuko sawa!
Mtaishia kusema hivyo hivyo chawa we ungepata hiyo nafasi usingeifanya tuache unafiki halafu hela ya kulisha familia yake unampa weweHuyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Watu wanachanganya u celebrity na mambo mengine.Hakuna kitu kama hicho, wewe ukishakuwa maarufu au celebrity na wafuasi kibao wanaokupa misifa kila siku, ukienda kinyume na matarajio basi lazima uwe tayari kupewa mitusi na kashfa za kuzidi kiwango, mfano Elon Musk sasa anapata payback yake magari yake hayanunuliki tena share za TESLA zimeanguka big time in a just one month na sales zinasikitisha na inawezekana kabisa TESLA kufirisika
Kwani wanyarwanda wana nini cha ajabu? Au kwa vile unawaona kwenye picha tu, nenda Kigali ukutane na harufu za vikwapaEti mbongo kapuku unaoa mnyarwanda.
Kiko wapi sasa?