Suala la Simba kuzindua jezi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro sio suala la kimichezo ila ni la kiroho litakaloathiri sana siasa za Taifa letu

Umesema ukweli kabisa!
 
Ni hisia zako tu na hazina ukweli wowote. Mwenge ni ubunifu wa hali ya juu wanaouweza ni wale wenye IQ kubwa. Unaleta matumaini ndio, sasa hv unazunguka nchi nzima kukagua miradi ya maendeleo. Unaleta amani kwa kuwa unamulika nchi yote kugundua penye uhatarishi na kufanyiwa kazi. Mwenge ni tunu la Taifa letu tuuenzi. Mlima Kilimanjaro kwa kuwa ndio kilele cha juu kabisa cha Africa. Tanzania imeshirikia ukombozi wa nchi nyingi za Africa, huoni ulivyoleta amani tena Africa. Sahv unazunguka nchi nzima kumulika penye ubadhirifu wa pesa za umma, penye uzembe, penye rushwa na serikali inayafanyia kazi. Mwenge unadumisha umoja wa kitaifa wa nchi yetu. We umekaa kishirikina tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…