Suala la Tozo hamjaweka hata huruma kwa pesa za makanisa, misikiti, ada za watoto wetu, wazee wastaafu na mishahara ya wafanyakazi

Suala la Tozo hamjaweka hata huruma kwa pesa za makanisa, misikiti, ada za watoto wetu, wazee wastaafu na mishahara ya wafanyakazi

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Hali ni mbaya kwa kweli laana inatutembelea kwenye Tozo

Hivi kweli Tozo mmeigeuza kama KODI jaman? Hadi akaunti za Shariah mnakata tozo? daah.

Nijuavyo mie kwanza ilitakiwa kila mwezi tuambiwe imepatikana kiasi gani hilo limeshapotezewa skuhizi.

Pili je hii tozo ni mpaka lini au ndio milele? nilitegemea serikali iseme tunajenga shule zikikamilika tunasimama kwa muda kukusanya tozo mpaka wananchi waseme kama wanaridhishwa na matumiz ya pesa zao!

Tunapenda kuona mapato na matumizi ya Hela zetu.
 
Hali ni mbaya kwa kweli laana inatutembelea kwenye Tozo

Hivi kweli Tozo mmeigeuza kama KODI jaman? Hadi akaunti za Shariah mnakata tozo? daah.

Nijuavyo mie kwanza ilitakiwa kila mwezi tuambiwe imepatikana kiasi gani hilo limeshapotezewa skuhizi.

Pili je hii tozo ni mpaka lini au ndio milele? nilitegemea serikali iseme tunajenga shule zikikamilika tunasimama kwa muda kukusanya tozo mpaka wananchi waseme kama wanaridhishwa na matumiz ya pesa zao!

Tunapenda kuona mapato na matumizi ya Hela zetu.
Tangu lini wezi wakawa na huruma?
 
Hali ni mbaya kwa kweli laana inatutembelea kwenye Tozo

Hivi kweli Tozo mmeigeuza kama KODI jaman? Hadi akaunti za Shariah mnakata tozo? daah.

Nijuavyo mie kwanza ilitakiwa kila mwezi tuambiwe imepatikana kiasi gani hilo limeshapotezewa skuhizi.

Pili je hii tozo ni mpaka lini au ndio milele? nilitegemea serikali iseme tunajenga shule zikikamilika tunasimama kwa muda kukusanya tozo mpaka wananchi waseme kama wanaridhishwa na matumiz ya pesa zao!

Tunapenda kuona mapato na matumizi ya Hela zetu.
Anzeni kuwahurumia watu wa Vijijini kwanza ndio muanze kuongea huo ujinga..

Nina Hakika watu wa Vijijini watawapiga Mawe nyie tumbili wa Mijini.
 
Hivi sasa SADAKA makanisani tukitoa Kwa MUUMBA wetu, kuitoa ikafanye KAZI ya Mungu wanachukua 10%. Kwa Kila transaction.

Serikali wamejigeuza miungu, wanachukua nafasi ya Muumba kuchukua ZAKA Kutoka sadaka za waumini.

Aliye JUU ya kiti Cha Enzi Mbinguni na AAMUE UGOMVI.

Ameeen
 
Hali ni mbaya kwa kweli laana inatutembelea kwenye Tozo

Hivi kweli Tozo mmeigeuza kama KODI jaman? Hadi akaunti za Shariah mnakata tozo? daah.

Nijuavyo mie kwanza ilitakiwa kila mwezi tuambiwe imepatikana kiasi gani hilo limeshapotezewa skuhizi.

Pili je hii tozo ni mpaka lini au ndio milele? nilitegemea serikali iseme tunajenga shule zikikamilika tunasimama kwa muda kukusanya tozo mpaka wananchi waseme kama wanaridhishwa na matumiz ya pesa zao!

Tunapenda kuona mapato na matumizi ya Hela zetu.
Rais Ili Kuondoa harufu hii mbaya ya TOZO, lazima apite na mshauri mkuu wa Mambo ya Tozo.
 
Vyanzo vipya vya kodi vinavyopendekezwa
-michango ya harusi, birthday na kitchen party.
-michango ya misiba na harambee
-matoleo ya zaka na sadaka pamoja na fungu la kumi.
 
Najua Kuna mbunge humu na hata Mwigulu yupo humu jf. Swali moja kwake, hivi hizi tozo zinaingia kwenye kifungu kipi Cha bajeti mliyopitisha? Na mlikadiria kukusanya kiasi Gani? Nini majukumu ya fedha za tozo? Je, CAG anaruhusiwa kufanya auditing?
 
Back
Top Bottom