Suala la umeme linazidi kuwa baya, Sasa ni bora Makamba

Suala la umeme linazidi kuwa baya, Sasa ni bora Makamba

Prof Griff

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2008
Posts
6,772
Reaction score
5,258
Wiki nzima hii umeme unakatila ghafla kila siku Dar es Salaam, tena mara kadhaa hata mara 5 kwa siku tofauti na wiki 2 zilizopita.

Ni ajabu hii imeanza baada tu ya Makamba kuondoka Wizara ya Nishati. Hii nchi kila siku zinazopita inazidi kurudi nyuma. Inatia hasira sana.

Hapa ninapoandika tupo gizani. Umeme unakata ghafla na imekuwa hivyo wiki nzima kuanzia jumatatu.
 
Wiki nzima hii umeme unakatila ghafla kila siku Dar es Salaam, tena mara kadhaa hata mara 5 kwa siku tofauti na wiki 2 zilizopita. Ni ajabu hii imeanza baada ya Makamba kuondoka Wizara ya Nishati. Hoi nchi kila siku zinazopita iamzidi kurudi nyuma. Inatoa hasira sana. Hapa ninapoandika tupo gizani. Umeme unakata ghafla na inekuwa hivyo wiki nzima kuanzia jumatatu.
Acheni kuendekeza na kupenda anasa. Maisha bila umeme Tanzania yawezekana.
 
Halafu dola zipatikane; how? Umeme ni input muhimu ya uzalishaji; hakuna uzalishaji halafu dola ziwe kwenye mzunguko! Crazy!
 
CCM mbele kwa mbele ,,, maji hamna saizi hivyo acheni kelele,,

Mvua ikinyesha tutakata Tena maanakutakuwa na matope mengi sana kwenye mitambo,,,,,,,,,,
Mvua ikinyesha sana tutasema maji yamekuwa mengi sana mitambo inazidiwa na maji hivyo umeme tutakata tu tukijisikia,,,,,
 
afu unalipia mita unasubiri miezi 3 hujafungiwa, ukitangaza rushwa ya laki na nusu mita inapatikana siku hiyo hiyo. Kuishi TZ unahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.
 
Acheni kuendekeza na kupenda anasa. Maisha bila umeme Tanzania yawezekana.
Kabla ya Makamba kuhamishwa Wizsra Umeme ulikuwa stable sana hadi kukatika ilikuwa ni nadra. Cha ajabu wiki moja tu baadaye umeme unakata kila siku mara kibao.
 
Water shida
Mafuta shida
Umeme shida
Pesa shida
Shida hizi mpk lini!!😄😄
 
Wiki nzima hii umeme unakatila ghafla kila siku Dar es Salaam, tena mara kadhaa hata mara 5 kwa siku tofauti na wiki 2 zilizopita.

Ni ajabu hii imeanza baada tu ya Makamba kuondoka Wizara ya Nishati. Hii nchi kila siku zinazopita inazidi kurudi nyuma. Inatia hasira sana.

Hapa ninapoandika tupo gizani. Umeme unakata ghafla na imekuwa hivyo wiki nzima kuanzia jumatatu.
Mkuu acha maisha ya anasa umeme kukatika mara 5 ndo ulalamike kweli?
 
Wiki nzima hii umeme unakatila ghafla kila siku Dar es Salaam, tena mara kadhaa hata mara 5 kwa siku tofauti na wiki 2 zilizopita.

Ni ajabu hii imeanza baada tu ya Makamba kuondoka Wizara ya Nishati. Hii nchi kila siku zinazopita inazidi kurudi nyuma. Inatia hasira sana.

Hapa ninapoandika tupo gizani. Umeme unakata ghafla na imekuwa hivyo wiki nzima kuanzia jumatatu.

Kaka unakaa dar sehemu gan
 
Wiki nzima hii umeme unakatila ghafla kila siku Dar es Salaam, tena mara kadhaa hata mara 5 kwa siku tofauti na wiki 2 zilizopita.

Ni ajabu hii imeanza baada tu ya Makamba kuondoka Wizara ya Nishati. Hii nchi kila siku zinazopita inazidi kurudi nyuma. Inatia hasira sana.

Hapa ninapoandika tupo gizani. Umeme unakata ghafla na imekuwa hivyo wiki nzima kuanzia jumatatu.
Tulieni dawa iingie, mzee wawatu alikuwa anawambia mtanikumbuka mnambeza na maneno ya kejeli
 
afu unalipia mita unasubiri miezi 3 hujafungiwa, ukitangaza rushwa ya laki na nusu mita inapatikana siku hiyo hiyo. Kuishi TZ unahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.
Ndiyo maana watanzania wanaoishi nje ya Tanzania hawathubutu kurudi tena huku jehanamu
 
Wiki nzima hii umeme unakatila ghafla kila siku Dar es Salaam, tena mara kadhaa hata mara 5 kwa siku tofauti na wiki 2 zilizopita.

Ni ajabu hii imeanza baada tu ya Makamba kuondoka Wizara ya Nishati. Hii nchi kila siku zinazopita inazidi kurudi nyuma. Inatia hasira sana.

Hapa ninapoandika tupo gizani. Umeme unakata ghafla na imekuwa hivyo wiki nzima kuanzia jumatatu.

Sijajua shida nini, mama awaangalie sana watu wake
 
Waziri Mkuu kajivua majukumu. Anajifanya hajui kinachoendelea anajaribu kuwatupia mzigo wateule wapya
 
Back
Top Bottom