Suala la umeme Tanzania ni uzembe wa Serikali

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
1,350
Reaction score
1,464
Wanyamwezi tuna usemi "if it ain't broke, don't fix it."

Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi.

Lakini tukaona hapana, tupindue meza. Kalemani kaa pembeni ili aje January.

Makamba tungeweza kumuweka hata wizara ya mambo ya nje, lakini wapiii? Kalemani alikua against kutunza mazingira so mbadala wake uwe anayependa mazingira. Tupo hapa sasa. Nchi linazunguka out of control.

Mwisho wa siku kuingiza hela nyingi mtaani hakusaidii kitu, kwasababu ukiwa na hela na umeme haupo huwezi kufanya uzalishaji. Makaa ya mawe tunayo ya kutosha lakini walaa hatuna habari.

KAMA HAKIJAHARIBIKA USIKITENGENEZE.
 
Awamu ya 4 imerudi kwa kas ya5G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…