SINGLE MAN
Member
- Jul 1, 2012
- 38
- 6
Pole sana ndg. yangu....
Malipo yote ni hapahapa duniani......
"Seek for the kingdom of God,and every thing shall be given to you"
Usione ubaya kwa aliye mbele yako,Mwamini Mungu wako atakuongoza..
Umoaja, mshikamano,upendo na amani ya nchi ni pale rasili mali za nchi zinaponufaisha wananchi wote, wakulima, wafugaji,viongozi, yatima,wajane, n.k ; Huu utaratibu wa mikopo ni wa kuligawa Taifa liangaliwe upya.Wadau inauma sana mtoto mkulima anakosa mkopo wakati huo mtoto wa Mbunge anapata. Naomba maoni yenu.