SINGLE MAN
Member
- Jul 1, 2012
- 38
- 6
Umoaja, mshikamano,upendo na amani ya nchi ni pale rasili mali za nchi zinaponufaisha wananchi wote, wakulima, wafugaji,viongozi, yatima,wajane, n.k ; Huu utaratibu wa mikopo ni wa kuligawa Taifa liangaliwe upya.Wadau inauma sana mtoto mkulima anakosa mkopo wakati huo mtoto wa Mbunge anapata. Naomba maoni yenu.