Inaonekana kama una point. Lakini mambo muhimu ni yepi. Kama Katiba ya sasa haifuatwi ile tunayoitaka hata tukiipata itafuatwa? Kuna Marekani mmoja aliwahi sema Watanzania tunakitakia matatizo kwa upole wetu. Kwa mfano mgonjwa anafariki kwa sababu ya uzembe wa daktari, usipomfikisha mbele ya vyombo vya haki unatengeneza uwezekano katika nchi kuendeleza uzembe. Ndiyo maana India au Marekani daktari akiwa hana uhakika wa nini cha kumfanyia mgonjwa anawauliza kwa uwazi kabisa wataalam wanaomzidi ili asimkosee mgonjwa! Tanzania tunafiga uzembe katika kila sekta.
Sent from my ONEPLUS A5000 using
JamiiForums mobile app