Suala la Wabunge 19 ni la kupuuzwa. Tunatolewa kwenye mijadala muhimu kwa Taifa

Uko sahihi
 
Sasa nini kifanyike maana hili suala tunazungushwa tu
 
Haki bro sio kuangalia mkeo halima anafukuzwa bungeni jikite kwenye

Haki na sheria
 
Mleta mada kuwa serious na mambo usipende kupuuzia.

Mkeo/ mumeo asipochepuka unanufaikaje? Na je utamuacha aendelee kuchepuka?
Mi nlijua sexless humuumii mtu akichepuka
 
Hao ni waharifu kama waharifu wengine, lazima washughulikiwe
 
Tatizo la Tanzania ni mfumo mbovu na kukosa uzalendo
 
Ajira ngumu mkuu,kina mama wa CDM na wao wanataka wakaonje keki ya taifa



NB:Katiba na sheria ni muhimu kifuatwa kama kweli tumestaarabika
 
Kwani Taifa kama taifa linanufaikaje kuwa na mbunge kama Kijibajaji au Musukume? Tuanzie hapo
 
Mkuu hao Covid 19 nadhani wako hapo kwa sababu serikali inahitaji mikopo kutoka kwa wahisani ambao sharti lao mojawapo lazima uruhusu demokrasia na utawala bora. Sasa Jiwe aliiba kura mpaka akasahau hili jambo kwa ushamba wake so wanalazimisha kuwa na hao Covid 19 ili kuwaadaa hao wahisani kuwa ndani ya bunge kuna wapinzani.
 
Waache hao wanawake waendelee na ubunge. Hivi CHADEMA wakiamua kuachana na hilo suala wataharibikiwa nini?
 
Ndio huwa nasema kuwa huko nyuma serikali ya ccm ilikuwa inabalance uchaguzi tofauti na alivyofanya Magu, hivyo kiuhalisia hakujawahi kuwa na ushindani sawa bali ccm yeye ndio refa na mchezaji kwa wakati mmoja.
 
Lissu alilizungumzia hili la Covid 19 kwa rais Samia hivyo kama kungekuwa na nia ya kulishughlikia hili suala la hao wabunge basi lingekuwa lishaisha hili kama lilivyoisha lile la Mbowe.

Sema watu wanapenda tu kujadili matukio ya kisiasa ila ukiangalia bunge zima wabunge wenyewe wameingia kimagumashi ila watu wamewashikilia hao wabunge 19 tu ndio wanaonekana et wanalipwa bure hawapo kihalali.
 
Taifa hili ni lini limekuwa na mjadala wa kitaifa !??
 
Mahakama kuu imewaambia msiwaguse
 
Yote haya yanayotokea yatufundishe KUTORUDIA makosa tukiandika Katiba mpya.

Wabunge 19 lengo moja wapo nikupunguza hamasa ya mchakato at the same time ACT kikipewa nguvu kuhujumu cdm
Mambo ya Chadema usiingize ACT bana,ninyi pambaneni na mambo yenu,ACT inajijenga kivyake,acheni kuweweseka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…