Uko sahihiInaonekana kama una point. Lakini mambo muhimu ni yepi. Kama Katiba ya sasa haifuatwi ile tunayoitaka hata tukiipata itafuatwa? Kuna Marekani mmoja aliwahi sema Watanzania tunakitakia matatizo kwa upole wetu. Kwa mfano mgonjwa anafariki kwa sababu ya uzembe wa daktari, usipomfikisha mbele ya vyombo vya haki unatengeneza uwezekano katika nchi kuendeleza uzembe. Ndiyo maana India au Marekani daktari akiwa hana uhakika wa nini cha kumfanyia mgonjwa anawauliza kwa uwazi kabisa wataalam wanaomzidi ili asimkosee mgonjwa! Tanzania tunafiga uzembe katika kila sekta.
Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
Sasa nini kifanyike maana hili suala tunazungushwa tuKuliacha hili jambo ni ujinga wa kiwango cha lami.
Inakuwaje watu wagushi nyaraka za chama halafu wanaendelea kutumia jina la chama katika chombo muhimu kwa nchi kama bunge na chama kikae kimya?
Yaani siku mtasikia "mbunge Bulaya wa Chadema ameipongeza serikali kwa kuwapa kipigo wananchi waliokataa kuhama Loliondo" kisha hata chama chake hakiwezi kumhoji!
Halafu ndio mnasema waachwe tuu?kwanini wasiwafukuze bungeni kisha waitwe kama wabunge wa CCM?
Mi nlijua sexless humuumii mtu akichepukaMleta mada kuwa serious na mambo usipende kupuuzia.
Mkeo/ mumeo asipochepuka unanufaikaje? Na je utamuacha aendelee kuchepuka?
😂😂😂😂Haki bro sio kuangalia mkeo halima anafukuzwa bungeni jikite kwenye
Haki na sheria
Hao ni waharifu kama waharifu wengine, lazima washughulikiweHivi hawa wabunge waliofukuzwa na CHADEMA wakifukuzwa bungeni na kuingia wengine 19 ,Taifa kama Taifa tunafaikaje ?
Hivi Nguvu na akili tunazopeleka huko kwa hawa wabunge hatuwezi tumia kujadili mambo mengine ya Msingi ?
Kama Spika wa Bunge na serikali kwa Ujumla hawaoni umuhimu wa kulimaliza hili sisi wananchi ni nani tupoteze muda kwenye hili suala ?
Tatizo la Tanzania ni mfumo mbovu na kukosa uzalendoInaonekana kama una point. Lakini mambo muhimu ni yepi. Kama Katiba ya sasa haifuatwi ile tunayoitaka hata tukiipata itafuatwa? Kuna Marekani mmoja aliwahi sema Watanzania tunakitakia matatizo kwa upole wetu. Kwa mfano mgonjwa anafariki kwa sababu ya uzembe wa daktari, usipomfikisha mbele ya vyombo vya haki unatengeneza uwezekano katika nchi kuendeleza uzembe. Ndiyo maana India au Marekani daktari akiwa hana uhakika wa nini cha kumfanyia mgonjwa anawauliza kwa uwazi kabisa wataalam wanaomzidi ili asimkosee mgonjwa! Tanzania tunafiga uzembe katika kila sekta.
Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
Ajira ngumu mkuu,kina mama wa CDM na wao wanataka wakaonje keki ya taifaHivi hawa wabunge waliofukuzwa na CHADEMA wakifukuzwa bungeni na kuingia wengine 19 ,Taifa kama Taifa tunafaikaje ?
Hivi Nguvu na akili tunazopeleka huko kwa hawa wabunge hatuwezi tumia kujadili mambo mengine ya Msingi ?
Kama Spika wa Bunge na serikali kwa Ujumla hawaoni umuhimu wa kulimaliza hili sisi wananchi ni nani tupoteze muda kwenye hili suala ?
Kwani Taifa kama taifa linanufaikaje kuwa na mbunge kama Kijibajaji au Musukume? Tuanzie hapoHivi hawa wabunge waliofukuzwa na CHADEMA wakifukuzwa bungeni na kuingia wengine 19 ,Taifa kama Taifa tunafaikaje ?
Hivi Nguvu na akili tunazopeleka huko kwa hawa wabunge hatuwezi tumia kujadili mambo mengine ya Msingi ?
Kama Spika wa Bunge na serikali kwa Ujumla hawaoni umuhimu wa kulimaliza hili sisi wananchi ni nani tupoteze muda kwenye hili suala ?
Mkuu hao Covid 19 nadhani wako hapo kwa sababu serikali inahitaji mikopo kutoka kwa wahisani ambao sharti lao mojawapo lazima uruhusu demokrasia na utawala bora. Sasa Jiwe aliiba kura mpaka akasahau hili jambo kwa ushamba wake so wanalazimisha kuwa na hao Covid 19 ili kuwaadaa hao wahisani kuwa ndani ya bunge kuna wapinzani.Binafsi naamini kuna hila mbaya kwenye hili suala la wabunge 19 waliyofukuzwa chadema. Kungekua na nia nzuri speaker ilibidi kuwasimamisha ubunge kama kuna masuala ya mahakama kabla ya kutoa uamuzi wa kusitisha ubunge wao.
Hakuna demokrasia ya kukilazimisha chama cha siasa chochote kua na wanachama wowote wale. Kwa hivyo kina mdee hatimae watatimuliwa tu hata kama mahakama itaamua vipi kwa sababu mahakama pia haiwezi kukilamisha chama cha siasa kua na watu hakiwataki.
Kwa hivyo kinachoendelea ni hila mbaya kwa upande wa uongozi wa bunge. Wanasababisha kina halima kuendelea kufaidika na mishahara na mafao ya ubunge wakati hawana hiyo stahiki. Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma na speaker anawajibika na huu ubadhilifu.
Ndio huwa nasema kuwa huko nyuma serikali ya ccm ilikuwa inabalance uchaguzi tofauti na alivyofanya Magu, hivyo kiuhalisia hakujawahi kuwa na ushindani sawa bali ccm yeye ndio refa na mchezaji kwa wakati mmoja.Mkuu hao Covid 19 nadhani
wako hapo kwa sababu serikali inahitaji mikopo kutoka kwa
wahisani ambao sharti lao
mojawapo lazima uruhusu
demokrasia na utawala bora.
Sasa Jiwe aliiba kura mpaka
akasahau hili jambo kwa
ushamba wake so
wanalazimisha kuwa na hao
Covid 19 ili kuwaadaa hao
wahisani kuwa ndani ya bunge
kuna wapinzani.
Endeea kusubiri washughulikiweHao ni waharifu kama waharifu wengine, lazima washughulikiwe
Mambo ya Chadema usiingize ACT bana,ninyi pambaneni na mambo yenu,ACT inajijenga kivyake,acheni kuwewesekaYote haya yanayotokea yatufundishe KUTORUDIA makosa tukiandika Katiba mpya.
Wabunge 19 lengo moja wapo nikupunguza hamasa ya mchakato at the same time ACT kikipewa nguvu kuhujumu cdm