CHUKUA HII, PABLO YUKO SAHIHI, TENA NI PROFESSIONAL HASWAAAA
"Ni hivi Coach alimsimamisha Jimmyson na Wawa badala ya Henock na Kibu!
Wakati wa kubadili Waamuzi wakamwingiza Jimmyson peke yake badala ya wote wawili; Coach akawa mbogo mana unaua nafasi za sub, Ndio maana Pablo Alionesha Vidole viwili Akimanisha kuwa Ilipaswa wote wawili Waingie Kwa Mpigo.
Rejea sub ni mara 3 tu! Wakati mpira unaendelea Tshabalala akaumia ikabidi nafasi ya kuingia Wawa isiwepo! Sasa bado waamuzi wao wakawa wamekariri kuwa ni Wawa ndiye anayeingia! Badala yake ikabidi sub ya Wawa isiwepo sababu Henock ikabidi abaki na
atoke Tshaba aliyeumia!"
Waamuzi walitengeneza Mtego ambao Kocha Asinge kuwa Na Msimamo, Tungepokonywa Point Tatu Leo kwa Sheria Ya Sub.
Sub Zinafanyika 2, 2, 1 ukifanya 2, 1,1,1 ni kosa na Adhabu ni kupokonywa ushindi.