Nina experience na passo ya rafiki, nibora ningeendelea kudunduliza kibubu lakini si kuangukia kwenye balaa la Passo. Kigari kinagonga balaa, kwa hizi barabara zetu si option sahihi kabisa.Kwangu Mimi naona haujakosea kabisa kuchukua hiyo ndinga......
Kama ungenunua Passo usiongeona michango mingi zaidi-zaidi tungekuponda tuu
Mzee baba kutumia simu mpk inabaki % hizo si nzuri kwa afya😆😆Huyu hapa nawaletea wazee wenzangu wa Subaru. View attachment 1121336
Mzee baba kutumia simu mpk inabaki % hizo si nzuri kwa afya[emoji38][emoji38]
Kama hiiHuu Uzi mnitagi, mwezinwa 5 sasa naanga liangari itayonifaa kwa fujo zang, ila nitamvua mtu mpya siwezi. Viva SUBRU@@
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watoto wa chugaTaabu ya hizi gari wamiliki wake wengi wanakula miraa na konyagi...sijui kwa nini..
Model hii mbaya/ya kiboya/kisoro bora ile model ya nyuma yake(2008).
Kwanini?!Model hii mbaya/ya kiboya/kisoro bora ile model ya nyuma yake(2008).
Kwangu hainivutii mkuu.Kwanini?!
Nakuelewa mkuuKwangu hainivutii mkuu.
Vijana wa chuga wqnazipenda....eti za kuopolea watoto wazuri..??[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watoto wa chuga
Sio kweli mkuuVijana wa chuga wqnazipenda....eti za kuopolea watoto wazuri..??
Halafu vijana wengi wanaoendesha hizi..akili zao huwa haziwazi mipango ya maisha...
Akili inatekwa na kile kibuyu kinachokoroma pale nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kweli mkuu