Subaru Forester 2008 vs Mazda C5 2012

Subaru Forester 2008 vs Mazda C5 2012

Wengi zinawasumbua mkuu! Kukuta honda CR-V namba DS inauzwa million 5 sio jambo la kushangaza

Aisee labda kama mafundi hawazijui wanakimbilia kusema gari mbovu. Yani Australia, Japan, Ulaya, marekani waisifie hii gari huku ndo tuseme ni mbovu. Na kumbuka wanaozipa maksi huko ni watumiaji. Kama Honda ni mbovu, subaru inakuwaje nzima sasa. Na ukiuliza wote wanaosema mbovu wanaweza wasikwambie zinasumbua nini. Honda CRV na Rav 4 ndo mojawapo ya SUV reliable zaidi duniani, tokea model za nyuma mpaka za sasa. Siwezi kukuamulia cha kupenda ila kwenye suala la ubovu ntakuwa mgumu kidogo kukubali
 
Sio kila subaru ni speedster, labda zenye turbo ambazo hawezi kupata fuel economy nzuri. Kama issue ni gari nyingine ambayo sio toyota ila ni reliable, fuel economy nzuri, ina driclve vizuri, aangalie honda crv. Mtu anyetaka fuel efficiency kwenye gari hawezi kununua Subaru hizi zenye turbo, hasa za miaka ya nyuma..

Nazile crossroad vp maana kama nazielewaga vile kimuonekano
 
Team Toyota Lazima waponde huu uzi
Timu ya Toyota inakuletea suluhisho la kudumu🐒
images (93).jpeg
 
Aisee labda kama mafundi hawazijui wanakimbilia kusema gari mbovu. Yani Australia, Japan, Ulaya, marekani waisifie hii gari huku ndo tuseme ni mbovu. Na kumbuka wanaozipa maksi huko ni watumiaji. Kama Honda ni mbovu, subaru inakuwaje nzima sasa. Na ukiuliza wote wanaosema mbovu wanaweza wasikwambie zinasumbua nini. Honda CRV na Rav 4 ndo mojawapo ya SUV reliable zaidi duniani, tokea model za nyuma mpaka za sasa. Siwezi kukuamulia cha kupenda ila kwenye suala la ubovu ntakuwa mgumu kidogo kukubali
Mafundi wanasema ziko vizuri, sema wanasema zinasumbua sana chini kwenye miguu (matairi) zinahitaji marekebisho ya mara kwa mara tofauti na SUV zingine
 
Back
Top Bottom