SUBARU FORESTER 2014 vs MAZDA CX 5 2014 niende na ipi?

SUBARU FORESTER 2014 vs MAZDA CX 5 2014 niende na ipi?

Yaelezee mkuu tuongeze ujuzi.
Kwa Mazda rahisi, DPF na cooling system rahisi kudeal nazo, tena kwa budget ndogo.

Kuna CX-5 jumamosi nilikua naendesha kumbe ina matatizo ya cooling, imenizimia hapo Mabibo hostel barabarani. Wakaja watu wanisikume.

Nikasema no-way mi sio wa kusukumwa aisee ndio mara ya kwanza toka niwe na gari. Nikamuita fundi nearby yeye ndio asukumwe mi nipo mita 100 ova ndugu mpita njia.

Kuja kucheki inavujisha coolant, sasa sijajua inavuja pipe vimepasuka au bypass au coolant inaingia kwenye oil (kama gasket imekufa) namuuliza imewahi overheat mara ngapi anasema x4 hivi.

Na hii kelele ya kwenye tairi la nyuma, breki zinakula rotor.

Dah maisha haya. Watu kikubwa gari linatembea vingine haviwahusu.
 
Duh ebu tulia na Subaru. Mazda waachie vijana wa town.
Sahihi kabisaa...
Ni Bora ununue kitu roho inapenda kuliko kusubiri tukupigie ramli, comparison haifanyi upate gari Sahihi ni Bora ufanye maamuzi mwenyewe tu
 
Nataka kupiga chini Toyota naomba ushauri kati ya vyuma viwili hapo juu kwa vigezo vya

Reliability
performance
Handling
Longetivity

Thanks
Kwa hizo creteria zako zote zinapatikana kwenye Toyota serve for performance
 
Mchuano ni mkali ila kwa kuwa kigezo cha pili unataka perfomance nashauri subaru mengine ni mapenzi yako yataamua.
 
Pia kuna kitu cha ajabu kidogo subaru ya 2014 kodi yake TRA iko chini kama 2mil kwa subaru ya 2013 nafikili TRA wanatakiwa kupitia kila mwaka marekebisho ya hiyo Used motor vehicle calculator yao waajiri vijana wapo wengi tu,Dollor inapanda na figure nayo inapanda haiakisi kile kilichokuwepo awali ndio maana graph ya kuagiza magari imeanza kushuka kwa kasi.
 
Kwa Mazda rahisi, DPF na cooling system rahisi kudeal nazo, tena kwa budget ndogo.

Kuna CX-5 jumamosi nilikua naendesha kumbe ina matatizo ya cooling, imenizimia hapo Mabibo hostel barabarani. Wakaja watu wanisikume.

Nikasema no-way mi sio wa kusukumwa aisee ndio mara ya kwanza toka niwe na gari. Nikamuita fundi nearby yeye ndio asukumwe mi nipo mita 100 ova ndugu mpita njia.

Kuja kucheki inavujisha coolant, sasa sijajua inavuja pipe vimepasuka au bypass au coolant inaingia kwenye oil (kama gasket imekufa) namuuliza imewahi overheat mara ngapi anasema x4 hivi.

Na hii kelele ya kwenye tairi la nyuma, breki zinakula rotor.

Dah maisha haya. Watu kikubwa gari linatembea vingine haviwahusu.
kwahiyo ukawaomba vijana wa NIT wakusukume na mademu zao
 
Ila mazda CX5 walioidesign walikuwa wanyama sana,bonge la gari.

Yaani hata masikini analimudu kulihudumia and at the same time anavimba na wenye magari ya bei kubwa
 
Ila mazda CX5 walioidesign walikuwa wanyama sana,bonge la gari.

Yaani hata masikini analimudu kulihudumia and at the same time anavimba na wenye magari ya bei kubwa
Hiyo si gari ya maskini, labda kama unaongelea fuel consumption peke yake. Lazima ugharamie service yake kila km 5000, uweke oil sahihi na service nyingine muhimu zinazotaka modern diesels.
Za petrol ni afadhali lakini zina mapungufu yake madogo madogo
 
Back
Top Bottom