[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kubali tu umetoa boko...
Umemquote mshikaji aliyeshauri jamaa achukue SUBARU aachane na BMW.
Sasa wewe from nowhere ukashadadia Habari za TOYOTA.
Hakuna mahali ameshauri jamaa achukue TOYOTA.
Ndio nimesema achukue. Ushahuri gani tena?Kama mimi nimesikiliza na kusoma reviews ambazo si za waswahili. Acha kugeneralize, mpe ushauri wa kitaalamu au experience yako
Kubali tu umetoa boko...
Umemquote mshikaji aliyeshauri jamaa achukue SUBARU aachane na BMW.
Sasa wewe from nowhere ukashadadia Habari za TOYOTA.
Hakuna mahali ameshauri jamaa achukue TOYOTA.
Na nilisema hivo nikiwa na maana beside toyota gari zilizobaki bei iko juu.Sijawahi kumiliki BMW ila reviews nyingi zinasema ni pasua kichwa.
Unahitaji kununua ama unauliza ndugu?
Maana kila uchwao pamekua na thread humu za watu wakiuliza uliza tuu bila kuchukua hatua.
Anyway , iko hivi ubora au ubovu wa gari mara nyingi sana inategemeana na wewe mwenyewe mtumiaji wa kila siku na namna ya kulimudu / kulihudumia
Uwezo wako wa utunzaji, njia unazopita / tumia kila siku n.k
Sasa kama utashindwa kuainisha haya hapa inamaana itakua ngumu kwakweli
Mimi na wenzangu kuweza kutoa ushauri halisi zaidi ya nadharia.
Itapendeza ukituandikia hapa matumizi yako ya kila siku ya gari na njia unazopita, idadi ya watu unayopakia na umbali unaotembea
Itasaidia sana kupata ushauri halisia zaidi ya nadharia.
Ahsante
Kama ndio unaanza kumiliki mandingaWakuu matumaini ni wazima naomba kujua ipi gari nzuri kati ya Subaru Forester ya mwaka 2009 na bmw x3 ya mwaka 2009 kwenye comfability fuel efficiency durability vipuli na nk
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisaComfortability - BMW
Durability - SUBARU
Fuel efficiency - Hii inategemea na model (Subaru yenye turbo inakula mafuta zaidi kuliko non turbo). Non turbo haitakuwa na tofauti na X3 ya 2500CC
Vipuri - siku hizi vyote vinapatikana ila Subaru itakuwa rahisi kidogo (gharama)
Naongezea nyingine
Practicality- Subaru, why? Utafanya nayo vitu vingi na kwenda nayo popote bila usumbufu. Sijawahi kumiliki BMW ila reviews nyingi zinasema ni pasua kichwa.
Wajuzi zaidi watasema
Yaani gari ya kutembelea mpaka idadi ya watu ninaopakia niitaje ndipo nijue ipo nzuriUnahitaji kununua ama unauliza ndugu?
Maana kila uchwao pamekua na thread humu za watu wakiuliza uliza tuu bila kuchukua hatua.
Anyway , iko hivi ubora au ubovu wa gari mara nyingi sana inategemeana na wewe mwenyewe mtumiaji wa kila siku na namna ya kulimudu / kulihudumia
Uwezo wako wa utunzaji, njia unazopita / tumia kila siku n.k
Sasa kama utashindwa kuainisha haya hapa inamaana itakua ngumu kwakweli
Mimi na wenzangu kuweza kutoa ushauri halisi zaidi ya nadharia.
Itapendeza ukituandikia hapa matumizi yako ya kila siku ya gari na njia unazopita, idadi ya watu unayopakia na umbali unaotembea
Itasaidia sana kupata ushauri halisia zaidi ya nadharia.
Ahsante
Sikusema kwa nia mbaya,Mtazamo wako unashangaza kidogo. Kwa hiyo wanaouliza ni lazima wawe wanataka au wana uwezo wa kumiliki magari wanayoulizia taarifa zao???
Lakini pia ameshasema maeneo anayoulizia, comfortability, fuel consumption, durability, spare….kuna sababu tena ya kutaja maeneo anayoenda kweli?!
E90 ina share chassis na E83 ?!! Zinaweza kuwa na engine inayofanana N52 ila chassis sidhani.Ndio nimesema achukue. Ushahuri gani tena?
Tatizo ni preventive maintenance, basi, vingine tunatishana tu. Nina E90 inashare chasis na iyo E83 mwaka wa pili huu gharama za uendeshaji ni za kawaida, ingawa siwezi sema sawa na za Corolla.
Ndio maana nikasema tu achukue coz in general E83 na E90 zipo rated on average overall.
Kikubwa mtoa mada, usichukue BMW yoyote engine size ikawa sawa au chini ya 2L na if possible isiwe 4 cylinders unless iwe F series kuja juu.
Hahaha 😂😂Mbona kaeleweka mkuu labda kimahakama ndio kakosea kwamba mtu anaweza kuruka akasema 'hii ni TVS sio bajaji[emoji23][emoji23]
Chukua Subaru kama gari ya kazi au chukua BMW X3 gari ya showoff Sawa Na mwanamke WA kiarabu kazi kuuza Sura Tu kazi hawezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu matumaini ni wazima naomba kujua ipi gari nzuri kati ya Subaru Forester ya mwaka 2009 na bmw x3 ya mwaka 2009 kwenye comfability fuel efficiency durability vipuli na nk
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huu ushauri ataukumbuka subiri afunge mkataba na MLA hela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ndio unaanza kumiliki mandinga
Chukua Subaru
Usije ukafa na Presha ndugu yetu tukakukosa.
Haujamuelewa mwenzako. Amesema kwamba kwa Tanzania ukiomba ushauri kuhusu gari gani ya kununua wadau wengi watapendekeza Toyota kwasababu ndio imezoeleka ila watakutia hofu au kukutisha kuhusu gari za brand za tofauti na Toyota sababu ni brand ambazo hawana mazoea nazo sana kama Toyota.Kubali tu umetoa boko...
Umemquote mshikaji aliyeshauri jamaa achukue SUBARU aachane na BMW.
Sasa wewe from nowhere ukashadadia Habari za TOYOTA.
Hakuna mahali ameshauri jamaa achukue TOYOTA.
Hueleweki!Haujamuelewa mwenzako. Amesema kwamba kwa Tanzania ukiomba ushauri kuhusu gari gani ya kununua wadau wengi watapendekeza Toyota kwasababu ndio imezoeleka ila watakutia hofu au kukutisha kuhusu gari za brand za tofauti na Toyota sababu ni brand ambazo hawana mazoea nazo sana kama Toyota.
Kamsome tena umuelewe.
Ni kweli gharama huwa ni za kawaida kulingana na kipato cha mtu husika hata kwa ambaye anaendesha Land Cruiser V8 Twin Turbo huwa nae huona gharama ni za kawaida tu!Ndio nimesema achukue. Ushahuri gani tena?
Tatizo ni preventive maintenance, basi, vingine tunatishana tu. Nina E90 inashare chasis na iyo E83 mwaka wa pili huu gharama za uendeshaji ni za kawaida, ingawa siwezi sema sawa na za Corolla.
Ndio maana nikasema tu achukue coz in general E83 na E90 zipo rated on average overall.
Kikubwa mtoa mada, usichukue BMW yoyote engine size ikawa sawa au chini ya 2L na if possible isiwe 4 cylinders unless iwe F series kuja juu.
Muwache bana aje kuwa balozi mzuri kwa wengine! Raha ya ngoma mtu uicheze sio kusimuliwa😂Ah ah ah ah BMW X3 pasua kichwa sana....... ikiwemo mchezo wa kuchanganya oil na coolant.. Cylinder head gasket inasumbua mno