Subaru Forester na bmw x3 zote za mwaka 2009

Subaru Forester na bmw x3 zote za mwaka 2009

Muwache bana aje kuwa balozi mzuri kwa wengine! Raha ya ngoma mtu uicheze sio kusimuliwa[emoji23]
Ukifwata maneno ya watu humu ununui gari unayo itaka,nilikiwa na crown ya 2004 nilitumia kama mwaka nikaauza ,nikanunua bmw series 3 E90 ya 2010 yana kilamtu aliongea itakusumbua nilichukua ina kilometa 38000 mpaka leo nakilometa 69700 miaka 2 aijawai nisumbua zaidi ya kumwago oil na kubadili break pads na sina gari nyingine naitumia kwenye shuulizangu na safari zangu zote,kikubwa fanya unacho penda na kuamini ,ukikwama basi una wa kumlaumu, trust me BMW ni zaidi ya gari
 
Ukifwata maneno ya watu humu ununui gari unayo itaka,nilikiwa na crown ya 2004 nilitumia kama mwaka nikaauza ,nikanunua bmw series 3 E90 ya 2010 yana kilamtu aliongea itakusumbua nilichukua ina kilometa 38000 mpaka leo nakilometa 69700 miaka 2 aijawai nisumbua zaidi ya kumwago oil na kubadili break pads na sina gari nyingine naitumia kwenye shuulizangu na safari zangu zote,kikubwa fanya unacho penda na kuamini ,ukikwama basi una wa kumlaumu, trust me BMW ni zaidi ya gari
Hilo bado zima mkuu umenunua la kms chache na umebahatika haliko problematic! Kama unamudu service ya crown 3 series haiwezi kukushinda kipato chako sio cha wasiwasi kabisa
 
Hilo bado zima mkuu umenunua la kms chache na umebahatika haliko problematic! Kama unamudu service ya crown 3 series haiwezi kukushinda kipato chako sio cha wasiwasi kabisa
Inawezekana maana mimi crown ilinisumbua sikuifaidi kabisa ilikuwa na problem ya ac kila nikitengeneza mwezi ishaaribika tena , ac compresa kama nipo sahii inafungu kwenye engine nilikuwa nanunua but zinakufa na unajua bei yake just kwa mwaka nilisha nunua kama mara 4 ,nikaichukia ndio maana nikauza ,so kila gari inaweza kuwa na problem
 
Inawezekana maana mimi crown ilinisumbua sikuifaidi kabisa ilikuwa na problem ya ac kila nikitengeneza mwezi ishaaribika tena , ac compresa kama nipo sahii inafungu kwenye engine nilikuwa nanunua but zinakufa na unajua bei yake just kwa mwaka nilisha nunua kama mara 4 ,nikaichukia ndio maana nikauza ,so kila gari inaweza kuwa na problem na crown nilichukua ina km 60000,
 
Inawezekana maana mimi crown ilinisumbua sikuifaidi kabisa ilikuwa na problem ya ac kila nikitengeneza mwezi ishaaribika tena , ac compresa kama nipo sahii inafungu kwenye engine nilikuwa nanunua but zinakufa na unajua bei yake just kwa mwaka nilisha nunua kama mara 4 ,nikaichukia ndio maana nikauza ,so kila gari inaweza kuwa na problem
Yeah ila kilichokuwa kinaua compressor hakikutafutwa!

Hao mafundi walikuwa wanatibu effects sio chanzo ama cause!
Likely ilikuwa shida ya umeme tu iliopelekea kuua compressor pre maturely!

Pole sana mkuu at some point kila gari ina bad experience yake. Too bad imekutokea kwenye crown.
 
Back
Top Bottom