Mkamatie Forester ya kijivu maana nimeona ikiendeshwa na demu inampendeza sana! Kuna mwanamama ana Forester mayai hizi XT namba DWF imekaza sana kila nikimuona natamani hata asimame nimuombe namba ila ndo hivyo yani nashindwa kumfikia.Wajuvi wa mambo, nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu. nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na bajeti yangu nimeona hizo akipata mojawapo atanizalia mtoto mwingine.
Nawasilisha.
Liability tena?!!! Naamini ulitaka kusema reliability.Mad Max amemaliza kilakitu.
Kama unataka gari ya kazi, liability, comfortability nenda na kluger Ila kama unataka gari ya fashion show nenda na Subaru za 2008.
Subaru zenye akili ni zile second generation za mwaka 2002-2007
Kazi unayo.Wajuvi wa mambo, nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu. nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na bajeti yangu nimeona hizo akipata mojawapo atanizalia mtoto mwingine.
Nawasilisha.
Sio yeye tu, anataka na sisi tumchagulie ili akisusa kumzalia aje kutulaumu huku π³π³Haya mambo yako yanashangaza sana,kwa nini yeye asichague gari anayoipenda hadi umchagulie wewe?!
Kwa hiyo anaetaka gari ni mtu A lakini anaechagua aina ya gari hiyo ni mtu C?Sio yeye tu, anataka na sisi tumchagulie ili akisusa kumzalia aje kutulaumu huku π³π³
Anatafuta kichaka cha kujifichia au kutupia lawama ππSio yeye tu, anataka na sisi tumchagulie ili akisusa kumzalia aje kutulaumu huku π³π³
Asee ebu acha kulinganisha ujinga na forester asee.Wajuvi wa mambo, nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu. nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na bajeti yangu nimeona hizo akipata mojawapo atanizalia mtoto mwingine.
Nawasilisha.