Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Baba wa mtoto ni mmoja tu Epuka matapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo gari yako ilikuwa turboGari ilikua inanipa 6km per L tena sio sehem za folen...
Nimeweka plug mpya, oil mpya ya injini na gear box kwa 0-60 lkn wap...
Gari imekuja na bearing zinavuma, bei yake sasa....
Spares zake hazishikiki...
Ofcoz ni gari ambazo unatakiwa uwe na ela mda wote...
Nikiri kwamba sikufanya research ya kutosha kuhusu hizi gari, ni gari ambayo itakupaswa usiwe na huruma na pesa zako