Subaru Forester XT vs Kluger

Subaru Forester XT vs Kluger

Gari ilikua inanipa 6km per L tena sio sehem za folen...
Nimeweka plug mpya, oil mpya ya injini na gear box kwa 0-60 lkn wap...

Gari imekuja na bearing zinavuma, bei yake sasa....

Spares zake hazishikiki...

Ofcoz ni gari ambazo unatakiwa uwe na ela mda wote...

Nikiri kwamba sikufanya research ya kutosha kuhusu hizi gari, ni gari ambayo itakupaswa usiwe na huruma na pesa zako
Hyo gari yako ilikuwa turbo
 
Back
Top Bottom