Baba Jazey
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 500
- 556
Kwanza hii inawezekana Kuna baadhi ya makampuni japan wanakwambia kama unataka kufanyiwa service huku (Japan) unaongeza hela mi nakushauri fanyia japani tena waambie wakufungie na tairi mpyaWadau nimeagiza Subaru Impreza Hatchback 1.5L 2007 with 79000KM. Kuna Uzi niliousoma humu JF kwamba unapoagiza gari wakati wa pre inspection inakuwa inafanyiwa kabisa na service huko hivyo ukija hakuna haja ya service ni moja kwa moja kuingia barabarani. Je, ni sahihi?so sihitaji kabisa kumwaga oil wala kubadilisha filter ama kufanya general check up?? Nasubiri maoni yenu.
Bajeti imebana kidogo ila nitaconfirm nao kujua gharama zinakuaje. Thank you so much for your inputsKwanza hii inawezekana Kuna baadhi ya makampuni japan wanakwambia kama unataka kufanyiwa service huku (Japan) unaongeza hela mi nakushauri fanyia japani tena waambie wakufungie na tairi mpya
Nimekuta nikirudia hii comment yako Mara kwa Mara, Mkuu unamiliki Impreza??Subaru ni gari nzuri sana kwani aina mgonjwa ya mara kwa mara ukilinganisha na Toyota
Kuhusu mafundi wapo wa kutosha, sio kama zamani na spea zinapatikana kila kona na ni OG
Ukiwa barabarani utaenjoy sana ni gari ambayo imetulia barabarani
Kuhusu mafuta, aili kivile mafuta kama watu wanavyokutisha japo inaweze isiwe sawa na ist japo raha ya hii gari ni tofauti na ist
Mwisho wa siku chagua kitu roho inapenda maisha yenyewe mafupi haya
Mkuu oil gani unatumia inakupa 20,000km? Tusaidiane tuone labda tunaweza kutumia kwenye mikweche yetu.Kaka najua ushapata ushauri mkubwa kutoka kwa watu ila nachokwambia ni kuwa kama unataka gar ya alinunua babu had mjukuu anatumia chukua subaru regardless kama ni impreza ama legacy ama forester as long as ni non turbo hutajuta
Mi nina legacy ya 2002 yenye cc 2.0 napata 10km/l trip towns highway 13 to 14
Huu ni mwaka wangu wa sita and i have abused this car only God knows how, maana ndo hakahaka
Njia zote nimekapitisha na it had never fails
Me
Kuhusu spare yah zina bei ila ukifunga unasahau hata iwe used. Mi mwenye natembelea used spare na nimebadili shockup once nilipoingiza otherwise ni mabush ambayo nabadili at least once a year au year and a half
Mafuta asikudanganye mtu mimi yangu inakula
Mafuta kama gar yoyote ile ambayo ni non turbo yenye cc 2000 iwe toyota carina ama IST
Kuhusu kuunguza gasket mi nina mwaka wa sita na nina km 165000 sijabadili
Chochote kwenye engine na gar imeingia ikiwa na 100k
Kikubwa matunzo naweka recomended Oil ambayo ni around 150k bei ila
Inakupa 20km mi naibadilisha nikifika 10km oil
Inatoka bado mupya
By the way yangu ni manual
Nina thread humu imezungumzia
Subaru na bei za spare itafute
Kila mtu anaamini ana mke mzuri nyumbani-Arsene WengerNimekuta nikirudia hii comment yako Mara kwa Mara, Mkuu unamiliki Impreza??
Utakuwa na uhakika gani kuwa imefanyiwa service? Imagine used car unauziwa fob $1000 or less, service parts OG $100,labor maybe $100 kweli atumie $200 then aje kumuuzia $1000! Ushauri wangu gari ikifika tu fanya service mwenyewe.Wadau nimeagiza Subaru Impreza Hatchback 1.5L 2007 with 79000KM. Kuna Uzi niliousoma humu JF kwamba unapoagiza gari wakati wa pre inspection inakuwa inafanyiwa kabisa na service huko hivyo ukija hakuna haja ya service ni moja kwa moja kuingia barabarani. Je, ni sahihi?so sihitaji kabisa kumwaga oil wala kubadilisha filter ama kufanya general check up?? Nasubiri maoni yenu.
Gari nzuriNaipenda sana Polo. One day ntakua na hiyo chuma
Yeah, Mungu akijaalia ntaimilikiGari nzuri
We nae roho mbaya tu,kwa tusiokuwa na mawazo ya kimaskini tumemuelewa kwanini hilo nalo amelijumuisha kwenye bandiko lake.He he he he he he! Wabongo tunafurahisha sana.
Kwani ungeanzia tu kuulizia kuhusu Subaru kulikuwa na tatizo?!!! Sasa umeanza kuelezea story za maisha binafsi, mara kujenga. Hivyo vingine ni non of our business.
Binafsi umbo la subaru huwa halinivutii!
Truth has been spoken. Shukrani sana kwa kunielewa Mkuu. Tumsamehe tu bure Jamaa yetuWe nae roho mbaya tu,kwa tusiokuwa na mawazo ya kimaskini tumemuelewa kwanini hilo nalo amelijumuisha kwenye bandiko lake.
Ili kila atakaemshauri aangalie umuhimu wa kwamba ni gari nzuri au siyo nzuri maana anaonyesha atakaa nayo mda mrefu sana,pia wakati mwengine nyuzi kama hizi ukiwa inspired huwa zina na manufaa sana kama ukawa na wivu wa maendeleo.
Nlishamiliki ila nko kwa forestarKila mtu anaamini ana mke mzuri nyumbani-Arsene Wenger
Sasa hapo kunakitu tunakiita uaminifu kwenye biasharaUtakuwa na uhakika gani kuwa imefanyiwa service? Imagine used car unauziwa fob $1000 or less, service parts OG $100,labor maybe $100 kweli atumie $200 then aje kumuuzia $1000! Ushauri wangu gari ikifika tu fanya service mwenyewe.
Ndo mana nkakwambia mwisho wa siku achukue kitu roho inapenda, unajua wa tz wengi tunanunua gari kwa kuangalia watu wanasema nnHahahaaaa so kila mtu anaamini kwenye ndinga anayosukuma sio?
Mkuu niliamua kufunga macho nasubiri Mchuma ufike kwa sasa. Nadhani mwezi wa sita katikati itakuwa imeshafika. Can't wait the experienceNdo mana nkakwambia mwisho wa siku achukue kitu roho inapenda, unajua wa tz wengi tunanunua gari kwa kuangalia watu wanasema nn
Ukweli hata mimi subaru huwa hainivutii kabisaHe he he he he he! Wabongo tunafurahisha sana.
Kwani ungeanzia tu kuulizia kuhusu Subaru kulikuwa na tatizo?!!! Sasa umeanza kuelezea story za maisha binafsi, mara kujenga. Hivyo vingine ni non of our business.
Binafsi umbo la subaru huwa halinivutii!
Utatumia sh.ngapi hadi.kuitoa bandalini?Wadau nimeagiza Subaru Impreza Hatchback 1.5L 2007 with 79000KM. Kuna Uzi niliousoma humu JF kwamba unapoagiza gari wakati wa pre inspection inakuwa inafanyiwa kabisa na service huko hivyo ukija hakuna haja ya service ni moja kwa moja kuingia barabarani. Je, ni sahihi?so sihitaji kabisa kumwaga oil wala kubadilisha filter ama kufanya general check up?? Nasubiri maoni yenu.
Kaka najua ushapata ushauri mkubwa kutoka kwa watu ila nachokwambia ni kuwa kama unataka gar ya alinunua babu had mjukuu anatumia chukua subaru regardless kama ni impreza ama legacy ama forester as long as ni non turbo hutajuta