Baba Jazey
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 500
- 556
Yenye turbo kwa mbele utaona pua ila non turbo akuna pua mbele ya bonet,Mkuu naomba ufafanuzi tofauti ya turbo na non turbo engine na unaweza kuzitambuaje (mimi sina ujuzi kabisa wa magari?)
hahahah mkuu umenistua sana hapa [emoji23] dont ever compare hyo subaru impreza boxer engine 1.5 natural aspirated na mziki wa crown 4gr-fseMkuu Power ya hii Impreza iko juu sana kulinganisha na IST. Iko na 6000rpm horse power. Hapa nadhani inakwenda sambamba na crown 2.0L/2.5L
hizo ni rmp na sio horse power...maximum horse power ya hiyo gari ni 108 brake horse power at 6000 rpmMkuu Power ya hii Impreza iko juu sana kulinganisha na IST. Iko na 6000rpm horse power. Hapa nadhani inakwenda sambamba na crown 2.0L/2.5L
Wadau nimeagiza Subaru Impreza Hatchback 1.5L 2007 with 79000KM. Kuna Uzi niliousoma humu JF kwamba unapoagiza gari wakati wa pre inspection inakuwa inafanyiwa kabisa na service huko hivyo ukija hakuna haja ya service ni moja kwa moja kuingia barabarani. Je, ni sahihi?so sihitaji kabisa kumwaga oil wala kubadilisha filter ama kufanya general check up?? Nasubiri maoni yenu.
[/QUOTp
Wadau nimeagiza Subaru Impreza Hatchback 1.5L 2007 with 79000KM. Kuna Uzi niliousoma humu JF kwamba unapoagiza gari wakati wa pre inspection inakuwa inafanyiwa kabisa na service huko hivyo ukija hakuna haja ya service ni moja kwa moja kuingia barabarani. Je, ni sahihi?so sihitaji kabisa kumwaga oil wala kubadilisha filter ama kufanya general check up?? Nasubiri maoni yenu.
Kaka Pre inspection wanayoifanya ni kuangalia hasa vile vitu ambavyo vinaweza kuifelisha gari kwenye mamlaka husika isiwe eligible kuingia barabaran, mfano brake system, na aina ya mambo kama hayo swala la oil sidhani kama wanabadili maana halihusian na ubora wa gari.
ili uwe na records sahihi ni bora ikishaingia ipeleke wewe garage unayoiamini wakaifanyie check up upya ikiwemo kubadili oil na any recommended part, ushauri wangu kwa service ya kwanza we jilipue uweke kila kitu kinachotakiwa, usiamini sana pre inspection certificate wanafanya kwa ajili ya kupata certificate tu.
NB: mi service ya kwanza gari ilipofika nilibadili oil nikaweza recommended na nilibadili shock up za mbele ( moja ilikuwa imeanza kuchoka) niliweka new brand ila ningejua ningeweka used, maana ubora ule ule tu na kwa nusu bei.
mabush nilianza kutabadili after 2 years
Mkuu oil gani unatumia inakupa 20,000km? Tusaidiane tuone labda tunaweza kutumia kwenye mikweche yetu.
Mkuu naomba ufafanuzi tofauti ya turbo na non turbo engine na unaweza kuzitambuaje (mimi sina ujuzi kabisa wa magari?)
Gari umeitumua six years na una Km 65000 afu unasema unaitumia saana?!? Au sijakuelewa?!? Hizi 65000 ni km za mwaka mmoja tu.Kaka najua ushapata ushauri mkubwa kutoka kwa watu ila nachokwambia ni kuwa kama unataka gar ya alinunua babu had mjukuu anatumia chukua subaru regardless kama ni impreza ama legacy ama forester as long as ni non turbo hutajuta
Mi nina legacy ya 2002 yenye cc 2.0 napata 10km/l trip towns highway 13 to 14
Huu ni mwaka wangu wa sita and i have abused this car only God knows how, maana ndo hakahaka
Njia zote nimekapitisha na it had never fails
Me
Kuhusu spare yah zina bei ila ukifunga unasahau hata iwe used. Mi mwenye natembelea used spare na nimebadili shockup once nilipoingiza otherwise ni mabush ambayo nabadili at least once a year au year and a half
Mafuta asikudanganye mtu mimi yangu inakula
Mafuta kama gar yoyote ile ambayo ni non turbo yenye cc 2000 iwe toyota carina ama IST
Kuhusu kuunguza gasket mi nina mwaka wa sita na nina km 165000 sijabadili
Chochote kwenye engine na gar imeingia ikiwa na 100k
Kikubwa matunzo naweka recomended Oil ambayo ni around 150k bei ila
Inakupa 20km mi naibadilisha nikifika 10km oil
Inatoka bado mupya
By the way yangu ni manual
Nina thread humu imezungumzia
Subaru na bei za spare itafute
Ahsante, pls be specific unaongelea gari gani yenye specification kama nilizoeleza hapo juu. Reminding you, kuwa na nyumba haimaanishi kuwa na familia kubwaMkuu, kwa utangulizi wako, kama ulianza na nyumba, basi wewe sio Impreza type. Nakushauri utafute gari practical kwa matumizi ya familia.
Gari umeitumua six years na una Km 65000 afu unasema unaitumia saana?!? Au sijakuelewa?!? Hizi 65000 ni km za mwaka mmoja tu.
Nadhani huu ni ushauri sahihi.Chukua VW Polo au Golf kuanzia 2008.
Kuna za ingine za mpk 1.2L
What about BMW 5 Series? Benz C/S series?hahahah mkuu umenistua sana hapa [emoji23] dont ever compare hyo subaru impreza boxer engine 1.5 natural aspirated na mziki wa crown 4gr-fse
hyo subaru maximum output yake ni 108 bhp at 6000rmp
while crown ya 2.5 v6 4gr-fse maximum output ni 210 bhp at 6000 rpm
boxer engines za 2.0 natural aspirated ndio ndio zinaweza kukeep up na crown or mark x ya 2.5 4gr
na ukiikuta tu mark x au crown yenye 3.0 3gr-fse hapo ukija tu na subaru ej20 boxer engine non turbo unakalishwa vizuri tuuuuuuu na hata ej 20 boxer engine turbocharged kama hujaitekenya una kaa vizur tuuy
km 250k and still counting [emoji41]Gari umeitumua six years na una Km 65000 afu unasema unaitumia saana?!? Au sijakuelewa?!? Hizi 65000 ni km za mwaka mmoja tu.
Usiseme haili kivile wakati unajua dhahiri mzigo ni boxer engine. Hauna cha vvti wala valvematicSubaru ni gari nzuri sana kwani aina mgonjwa ya mara kwa mara ukilinganisha na Toyota
Kuhusu mafundi wapo wa kutosha, sio kama zamani na spea zinapatikana kila kona na ni OG
Ukiwa barabarani utaenjoy sana ni gari ambayo imetulia barabarani
Kuhusu mafuta, aili kivile mafuta kama watu wanavyokutisha japo inaweze isiwe sawa na ist japo raha ya hii gari ni tofauti na ist
Mwisho wa siku chagua kitu roho inapenda maisha yenyewe mafupi haya
ushauri poa sanaChukua VW Polo au Golf kuanzia 2008.
Kuna za ingine za mpk 1.2L
kama itakua sawa na crown mushaulini asichukue crowni ninayo hapa inanifia mafuta inafanya kunywa du hatari.Mkuu Power ya hii Impreza iko juu sana kulinganisha na IST. Iko na 6000rpm horse power. Hapa nadhani inakwenda sambamba na crown 2.0L/2.5L
chukua aud a4 bonge gari gari ya kijanja utaipenda hiyo bei kat m.15 au juu kidogo..hukupa taarifa kila gari inapo kupa hitilafuWakuu habari za weekend,
Sio siri nimejibana sana kununua ndinga nikiamini kwenye kuanza kujenga. Nashkuru nimepata kapango cha kujihifadhi na nimeamua kuvuta ndinga. Kabla sijavuta mchuma niliwafuata jamaa zangu kadhaa kwa ushauri. Vipaumbele vyangu vingiwa Gari yenye gharama ndogo ya mafuta, maintenance na uagizaji. Nilihitaji gari isiyokuwa na engine capacity ya zaidi ya 1500 na owe low mileage, chini ya 80,000KM. Niliposhauriwa IST I was like kila nikigeuka naona everybody owns it, imekaa sana sokoni soon itaondoka na hii gari nataka nikae nayo kwa muda. Wapo walionishauri Allex, Premio lakini mwisho wa Siku I met this friend of mine. Akaniuliza what is your desire. Nikamwambia Subaru Impreza Hatchback zilizoanza kutoka mwaka 2007. Tukaanza kuifanyia assessment. Kwenye ulaji wa mafuta ni 13/16 urban/highway it can go down to 10km/l kukiwa na traffics kubwa. I can use budget ya IST ama Allex kuimport hii gari, utata kidogo ulikuja kwenye maintenance. Cost zilionekana kuwa juu kiasi though tuliambiwa spare zake ni mkataba. Je, Subaru Impreza Hatchback ni chaguzi sahihi? Vp kwenye masuala ya maintenance kuna yoyote mwenye experience na hzi gari akaongelea?? Shukrani!!
Mkuu ebu funguka kidogo kuhusu audi mana ni vizuri kubadilisha sio kila siku Japanchukua aud a4 bonge gari gari ya kijanja utaipenda hiyo bei kat m.15 au juu kidogo..hukupa taarifa kila gari inapo kupa hitilafu