Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

delusions

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
5,002
Reaction score
1,287
Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena.

1599472211540.png
 
Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena

Mkuu hiyo gari ina high perfomance engine 2000cc.
Watu wengi wana iconfuse na kufikiri ni sawa na Corolla!

Hii gari ni kiboko, ina perfomance bora kuliko Chaser au gari inayolingana na Chaser.

Ukitaka kuijua Subaru piga long trip kama Mbeya au Arusha ndo utaiheshimu.
Its a leader in its class.
NB
Watengenezaji wa engine za hizi gari wanatengeneza vile vile engine za ndege.
 
Mwenzio analia na mafuta eti
Mkuu hiyo gari ina high perfomance engine 2000cc.
Watu wengi wana iconfuse na kufikiri ni sawa na Corolla!

Hii gari ni kiboko, ina perfomance bora kuliko Chaser au gari inayolingana na Chaser.

Ukitaka kuijua Subaru piga long trip kama Mbeya au Arusha ndo uyaiheshimu.
Its a leader in its class.
 
Nawaona wana subaru kaskazini .......
Sijawahi kuzipenda hizi gari
 
Nilikuwa sihesaby Km nilizotembea nikipiset ndo nikashangaa
 
kaka kuna gari za watumiaji wa kipato kidogo na kipato kikubwa,ni kama kama huna biashara za safari ndefu za mara kwa mara unanunua prado v8 huku maisha yenyewe ni ya kuungaunga,utailaumu gari kumbe kosa ni lako kutokufanya uchunguzi mapema.Gari yako hiyo hiyo ipige long safari uone kama hujaifurahia kama wewe ni dereva lkn.
.
 
Back
Top Bottom