Subash Patel: Press Conference!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
Haya wakuu nimepata hii SMS muda mchache sana uliopita, vipi imekaaje?:-


 
Alieyzungumza ni public relations officer wake, Abubakary Mlawa. Ni kweli amekanusha kuhusiana na masuala ya Kiwira. Cha msingi alichokisema nu kwua kampuni ya Subhash MM Steal Resources Public ilishiriki katika kandarasi huko Mchuchuma kwa kufuata taratibu zote. Amsema Shubhash ni clean na bado anaendelea na biashara zake clean ba kumtaka Mengi kama ana ajenda yake aseme mja kwa moja na si kupakazia watu.
Hayo ndiyo niliyoyapata kutoka kwenye press conference hiyo
 
Sasa Mengi alipe hiyo Shilimgi moja .Kwa kumzushia mtu uwongo ,na kama aliyosema Mengi kwa huyu ni uwongo basi Mengi anaweza kwenda lupango.
 
Sasa Mengi alipe hiyo Shilimgi moja .Kwa kumzushia mtu uwongo ,na kama aliyosema Mengi kwa huyu ni uwongo basi Mengi anaweza kwenda lupango.


Patel? nawe unaamini kabisa aliyo yasema hivo coldly namna hii? Mwizi mkubwa, mwaka huu lazima wakome kutuibia they will face it!

By theway ulisha wahi kuona mwizi yeyote anaye kiri moja kwa moja hata akibanwa? hata huwa akizidiwa wana msingizia shetani kwamba kawasababishia. Patel yuko katika njia hiyo hiyo..
 
Sasa Mengi alipe hiyo Shilimgi moja .Kwa kumzushia mtu uwongo ,na kama aliyosema Mengi kwa huyu ni uwongo basi Mengi anaweza kwenda lupango.


Ndo maana Nyerere aliweka shule za ngumbalu, zilisaidia sana wananchi kujua kilichokuwa kinafanyika nchini, sasa hivi hizi shule hakuna, ndo maana watu wengi utindio wa ubongo umeongezeka.
 
FROM MWANANCHI

Subash Patel: Tofauti za kibiashara zisiwe chanzo cha malumbano



 
Mlawa, Mlawa, Mlawa... kweli uko tayari kwa hili? haya shauri yako.
Simjibii Mlawa ila yeye ni mtumishi wa Patel kama watumishi wengine yeye ni pro kazi yake ni kusafisha. Kazi ambazo waandishi wa petty cash journalism wanazitafuta angalau waondokane na kuchumia juani. Hiyo job itamfikisha mahali pazuri zaidi mbele ya safari, si unaona alipo pro wa RA.

Mlawa chapa kazi huo ndio uzalendo uzalendo wa kweli usio angalia rangi ya mtu. Mtumikie kafiri upate mradi wako. Kazi ni kazi, bora mkono uende kinywani. Chumia tumbo mwanangu, wenzako wanakula mapande ya nyangumi, kula papa kula mwanangu kabla nyangumi hajameza papa wote.
 
tutaonana wabaya hayaaaa.....🙂
 

Je na wewe ulipokea bahasha? na mlikuwa na nini ndani yake?
 
cha kujiuliza KUBENEA wa MWANAHALISI kwa nini alichomoa press conference ya kuumaliza Rostam wiki iliyopita?

halafu mnataka kutuambia eti wengine wako clean

tukianza kufumuana kutakuwa hakukaliki humu
 
cha kujiuliza KUBENEA wa MWANAHALISI kwa nini alichomoa press conference ya kuumaliza Rostam wiki iliyopita?

halafu mnataka kutuambia eti wengine wako clean

tukianza kufumuana kutakuwa hakukaliki humu

usizungumzie vile vibasha halali vya usafiri, hii ni deal kubwa la kuchumia tumbo. Kubenea kwenye somo hili, lazima afunge mdomo, RA kalimlipua yuko payroll ya Mangi, bado kanyamaza.nilisema kwa waandishi wa petty cash journalism, huu ni mwaka wa mavuno.
 
cha kujiuliza KUBENEA wa MWANAHALISI kwa nini alichomoa press conference ya kuumaliza Rostam wiki iliyopita?

halafu mnataka kutuambia eti wengine wako clean

tukianza kufumuana kutakuwa hakukaliki humu

Tunacho hitaji ni kuwaweka hadharani manyangumi na mapapa ila kauli ya vitisho vya kutokalika itatufanya tukuwekee alama za (???????)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…