Subira ni kitu cha muhimu

Subira ni kitu cha muhimu

MR MLAWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
304
Reaction score
507
Habar wana jamii, leo nimeona nizungumzie jambo moja ambalo mara nyingi hutokea baina ya mteja na mtoa huduma.

Mara nyingi tunapenda kua na haraka pindi tunapohitaji huduma tuchukulie kama umeenda dukani au umeenda kufanya huduma za kifedha kwa wakala unapoenda unamkuta kuna mteja anahudumiwa either mmoja au watatu lakini unapofika wewe unataka kua wa kwanza uhudumiwe.

Hii haiko sawa kabisa kwanini tusiwe na utaratibu kama ilivyo bank? Mbona kule unaweza ukavumilia hata masaa 2 kukaa foleni ili uhudumiwe lakini kuvumilia kufanya huduma ukiwa mtaani unaona uzito.

Licha ya hilo bado unakuta huna uungwana na kuongea maneno mabaya na kumdharau mtoa huduma hajui au yuko polepole au kivyovyote vile. Hivi unashindwa kufikiria mpaka yeye yupo pale hata kama kawekwa lkn si yupo kwa huduma? Tuwe na uungwana tunapohitaji Mahitaji.
 
Hivi walinzi tunawachukuliaje ndugu zangu? Yaani automatically hua wapo kwenye mkao wa ujeuri.

Nimeingia bank mlinzi mmoja wa kiume akaniambia peni hakuna chukua yangu utanirudishia, nimemaliza kuitumia namtafuta simuoni namuona mwenzake wa kike amesimama mikono mfukoni, nikamsogelea.

Mimi: Za saa hii?
Yeye: Kimya
Mimi: Mambo:
Yeye: Ananiangalia tu
Mimi: Afande aliniachia kalamu yake hii ila simuoni.
Yeye: Akatoa mkono mfukoni. Akanyoosha kuipokea.

Mshkaji wangu akaniambia 'Dada anajiona SWAT'
 
Habar wana jamii, leo nimeona nizungumzie jambo moja ambalo mara nyingi hutokea baina ya mteja na mtoa huduma.

Mara nyingi tunapenda kua na haraka pindi tunapohitaji huduma tuchukulie kama umeenda dukani au umeenda kufanya huduma za kifedha kwa wakala unapoenda unamkuta kuna mteja anahudumiwa either mmoja au watatu lakini unapofika ww unataka kua wa kwanza uhudumiwe.
Hii haiko sawa kabisa kwa nini tusiwe na utaratibu kama ilivyo bank? Mbona kule unaweza ukavumilia hata masaa 2 kukaa foleni ili uhudumiwe lakini kuvumilia kufanya huduma ukiwa mtaani unaona uzito.

Licha ya hilo bado unakuta huna uungwana na kuongea maneno mabaya na kumdharau mtoa huduma hajui au yuko polepole au kivyovyote vile.Hivi unashindwa kufikiria mpaka yy yupo pale hata kama kawekwa lkn si yupo kwa huduma? Tuwe na uungwana tunapohitaji Mahitaji.
siku hizi wateja wamekuwa wafala badala ya wafalme
 
Hivi walinzi tunawachukuliaje ndugu zangu? Yaani automatically hua wapo kwenye mkao wa ujeuri.

Nimeingia bank mlinzi mmoja wa kiume akaniambia peni hakuna chukua yangu utanirudishia, nimemaliza kuitumia namtafuta simuoni namuona mwenzake wa kike amesimama mikono mfukoni, nikamsogelea.

Mimi: Za saa hii?
Yeye: Kimya
Mimi: Mambo:
Yeye: Ananiangalia tu
Mimi: Afande aliniachia kalamu yake hii ila simuoni.
Yeye: Akatoa mkono mfukoni. Akanyoosha kuipokea.

Mshkaji wangu akaniambia 'Dada anajiona SWAT'
Huyo huenda alikua na stress zake kichwani ila kuna baadhi wanatoa huduma nzuri mpaka unatamani siku nyine urudi pale.
 
siku hizi wateja wamekuwa wafala badala ya wafalme
Yaan inabidi wajirekebishe asee!! Ila pia kuna baadhi ya watoa huduma hasa wale walio ajiriwa kuna baadhi pia hawajali kwa sababu hawaoni hasara hata mteja asipomhudumia wakati anategemea alipwe pesa kupitia faida ya huyo mteja aliyemuacha[emoji2]
 
Subira ni muhimu sana kwenye mambo mengi, kuna watu hicho kitu hawana kabisa ndani yao. Wao hujiona wanastahili kuwa wakwanza kwenye kila kitu. Subira huambatana na ustaarabu, ukiwa huna subira uwezi kuwa mstaarabu.
 
Habar wana jamii, leo nimeona nizungumzie jambo moja ambalo mara nyingi hutokea baina ya mteja na mtoa huduma.

Mara nyingi tunapenda kua na haraka pindi tunapohitaji huduma tuchukulie kama umeenda dukani au umeenda kufanya huduma za kifedha kwa wakala unapoenda unamkuta kuna mteja anahudumiwa either mmoja au watatu lakini unapofika wewe unataka kua wa kwanza uhudumiwe.

Hii haiko sawa kabisa kwanini tusiwe na utaratibu kama ilivyo bank? Mbona kule unaweza ukavumilia hata masaa 2 kukaa foleni ili uhudumiwe lakini kuvumilia kufanya huduma ukiwa mtaani unaona uzito.

Licha ya hilo bado unakuta huna uungwana na kuongea maneno mabaya na kumdharau mtoa huduma hajui au yuko polepole au kivyovyote vile. Hivi unashindwa kufikiria mpaka yeye yupo pale hata kama kawekwa lkn si yupo kwa huduma? Tuwe na uungwana tunapohitaji Mahitaji.
Pole kwa yaliyokukuta wakala MR MLAWA

Pia ukiwa na lugha nzuri kwa mteja mwenye kimbelembele itakusaidia usimpoteze

Mfano mwambie Karibu kuna waliotangulia ngoja niwahudumie halafu muda si mrefu nitakuhudumia boss

Mfano wa kauli kama hizo zinawatuliza wateja na humfanya asiondoke aende kwa mwingine

Ukiwa mfanyabiashara au mtoa huduma CUSTOMER CARE muhimu sana. Jitahidi kutumia lugha nzuri usimpoteze mteja hata kama ni mkali au kama hao wenye vimbelembele
 
Subira haijawahi kuniangusha.
Hata saiv nasubir placement tu ya utumishi huku nikijichimbia dhahabu nyangarata.
 
Back
Top Bottom