Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi kuna wapenzi wengine wa Nyota Ndogo humu jamvini?
Nampenda sana huyu mdada kutoka Mvita.
Nampenda kuhusu mengi [ila msiniulize mengi yepi...jiongezeni wenyewe].
Anaonekana ni mdada maridhia kabisa na ikitokea bahati ya kukutana naye basi kwangu litakuwa ni jambo la adhama kubwa.
Huu wimbo wake mpya nimetokea kuupenda sana.
Nimeupa nyota sita kati ya tano.
Pia ujumbe wake ni murua kabisa. Unafaa kwenye miktadha mbalimbali ya mapitio ya kimaisha.
Furahia.
Nampenda sana huyu mdada kutoka Mvita.
Nampenda kuhusu mengi [ila msiniulize mengi yepi...jiongezeni wenyewe].
Anaonekana ni mdada maridhia kabisa na ikitokea bahati ya kukutana naye basi kwangu litakuwa ni jambo la adhama kubwa.
Huu wimbo wake mpya nimetokea kuupenda sana.
Nimeupa nyota sita kati ya tano.
Pia ujumbe wake ni murua kabisa. Unafaa kwenye miktadha mbalimbali ya mapitio ya kimaisha.
Furahia.