Denis Lucas Shio
Member
- Aug 2, 2022
- 60
- 75
Ni kwa miaka kadhaa mchezaji wa Real Madrid Kareem Benzema amekuwa akiwapigia makofi na kuwapongeza wachezaji Lionel Mess na Cristiano Ronaldo walipokuwa wakichukua tunzo za Ballon D'or.
Lakini mwaka huu 2022 tunzo ya Ballon D'or imekwenda kwa mchezaji Kareem Benzema, na anapigiwa makofi na kupongezwa na wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Mess.
Hii inatufundisha kamwe tusikate tamaa katika harakati za kutafuta, na mwenzako anapopata usiweke chuki juu yake bali mpongezee, uongezee bidii na uwe na subira kwani wakati utafika na wewe utapongezwa.
View attachment 2390605View attachment 2390606
Lakini mwaka huu 2022 tunzo ya Ballon D'or imekwenda kwa mchezaji Kareem Benzema, na anapigiwa makofi na kupongezwa na wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Mess.
Hii inatufundisha kamwe tusikate tamaa katika harakati za kutafuta, na mwenzako anapopata usiweke chuki juu yake bali mpongezee, uongezee bidii na uwe na subira kwani wakati utafika na wewe utapongezwa.
View attachment 2390605View attachment 2390606